Recent content by zandar

  1. Z

    Majambazi wavamia gari la Bonite (Coca Cola) Moshi na kupora pesa

    Majambazi yauwa mlinzi nakujelui dereva nakuondoka na pesa yote ya makusanyo ya mauzo Moashi
  2. Z

    Wazo la Jumanne

    Na ukitaka kujulikana nunu gari :peep:
  3. Z

    Mkopo wa Benki Bila "10%" upo?

    Kweli kuna maafisa mikopo wengine mpka wana kupa mchongo ukope ili umkatie chake kwangu wali umia nimechukua mkopo wa ml 10 kuja nikampa lak akadai wako wengi nikamwambi bac niwachie huo mkopo wote watalipa wenye akurudia tena.
  4. Z

    Natafuta mchumba

    Naitaji saport yako mkuu nielekeze
  5. Z

    Picnic ya wanajamiforums

    ha ha ha ha aisee
  6. Z

    Natafuta mchumba

    Matapeli hao na wako na mambo yao
  7. Z

    Natafuta mchumba

    Wadau natafuta mchumba vigezo na mashart kuzingatiw
  8. Z

    Naomba ushauri mpenzi atishia kuniacha

    Kumbe huku kutamu duh ni sheeeedah
  9. Z

    Stori ya Kusikitisha ya Kichina

    Dah, mmmh ni sheeedah
  10. Z

    Eti nimfanyaje huyu?

    asante ntaitafuta mkuu.
  11. Z

    Eti nimfanyaje huyu?

    Wadau nina mpenzi wangu ambae anasoma chuo kiukweli katumia pesa zangu sana tu mpaka akafikia kunizalia mtoto, sasa pesa zimekata na nyumba niliyopanga nikarudisha nikarudi home kujipanga upya nikiwa nae, kapata pesa akanambia kapanga nyumba kwaiyo nipeleke vitu tuka ishi wote tena...
Back
Top Bottom