Kweli kuna maafisa mikopo wengine mpka wana kupa mchongo ukope ili umkatie chake kwangu wali umia nimechukua mkopo wa ml 10 kuja nikampa lak akadai wako wengi nikamwambi bac niwachie huo mkopo wote watalipa wenye akurudia tena.
Wadau nina mpenzi wangu ambae anasoma chuo kiukweli katumia pesa zangu sana tu mpaka akafikia kunizalia mtoto, sasa pesa zimekata na nyumba niliyopanga nikarudisha nikarudi home kujipanga upya nikiwa nae, kapata pesa akanambia kapanga nyumba kwaiyo nipeleke vitu tuka ishi wote tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.