Daaa sasa kwa nini hakumshitaki?
Alikwenda mpaka kituoni msimbazi ila umeme ulikuwa umekatika akashindwa kufungua jarada.
Nalog off
yote maisha! Kijana wa watu hakuwa na la kufanya!
Ila hiyo revenge ya mdada ni shidaa........Maana hakutaka la mnadi sala wala la mswalia mtume!
But Tuacheni utani, Imagine what happened to Yung sa whoo Happens to u, what would u have done???
Kwa hiyo asa kuna part two yake au ndo imeishia hapo hapo jaman?ila inaskitisha kweli.
We nae wenzio wanamajonzi we unacheka!