Kwa uzoefu wangu, ni vigumu kupata mkopo bila kutoa rushwa hata kama vielelezo vyako vimekamili.
Mimi mteja ktk bank za CRBD, ABC, Access, EFC, na NBC! Na nimechukua mikopo hupo mara kadhaa! Lakini ukienda kwa unyoofu, mkopo utachkua muda mrefu, tena hutapewa kiasi ukitakacho. Ila ukitoa kitu kidogo (TKK) ukicheleweshwa ni siku 3 tu tangu umeomba mkopo!
Ndio maana nawashangaa sana maofisa mikopo wa benki nyingi, mishahara yao midogo, lakini wanafanya mambo makubwa, ambayo hayalingani na vipato vyao.
Kuna maafisa katika Benki moja ya Biasha tawi la Tegeta, ambao hawezi kutoa mkopo hadi umekubaliana nao utawakatia kiasi gani! Hata mtu anayekopa kiasi kidogo tu lazima aombwe TKK, la sivyo hapati!
Jamani wahusika tusaidieni!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kwanini msiende kukopa amana bank, benki ya waislam? kule natumaini hakuna rushwa wala riba!
CC: Ritz, FaizaFoxy, kahtaan Kikwajuni One
Last edited by a moderator: