Sio kitu chepesi kabisa.
Zaidi ni kwamba taarifa zako hizo mpya zitakuwa rejected kwa maana kwamba fingerprints zako tiyari zimeshatunzwa kwenye mfumo wa NIDA.
Mkuu! 20,000 ni pale tu endapo mhusika atakuwa tiyari ameshapokea kitambulisho chake, na kitambulisho kikawa ndo tiyari kina makosa hayo bila ya yeye kugundua.
Pili, pale ambapo mhusika hajakipokea kitambulisho chake (ana namba ya kitambulisho pekee) lkn makosa yaliyopo ni kutokana na kukosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.