Katika Safari yangu ya mapenzi/mahusiano enzi hizo ,sifa nyingine ya wanaume nilowahi kutoka nao kimapenzi ni wahaya.Niliwahi toka na wahaya watatu kwa nyakati tofauti hadi nikahisi nina mkosi na wahaya.Sijawah ishi Kanda ya ziwa wote nimekutana nao mjini dsm.
Mhaya wa kwanza;huyu alikuwa...
Wewe mwenye akili zimekusaidia nini toka utoke mapolin kwenu huko?umezeeka hate nyumba tano mjini za maana huna na naongelea nyumba si mapagale yenu ya chanika
We mshamba tu watu wa daslam kina kikwete wanajulikana
Nitaumia sehemu za s.iri kama alivyoumizwa mama yako hadi kukuzaaa punguani ka wewe usojua asili yako
Peleka ushamba wako wa kisukuma huko sielewagi mabogus Mimi
Matusi yenyewe umeyajulia dar baada ya kuja na gali la wanyama mie si size yako mzee katafute makapuku wenzio ujadil nao
Wewe huna hata hadhi ya houseboy wangu msengerema mkubwa wewe
Sina muda wa kudate maskin tena mimi so stay with ushauri wako,jitu limekulia polini huko likichunga mbuzi limekuja mjini kwa hisan ya Kijiji haliwez nibabaisha kamwe
Yes am independent bakin na kina mwajuma ndala ndefu wanaoomba Hadi hela ya pedi,kwanza kuna mwanaume gani wa kuhudumia mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.