Nipo singida mkuu garama ni kulingana na wewe unataka ya ukubwa gani mkuu afu kuhusu ubora sijawahi pata malalamiko kwa amp nazosuka mm kwahiyo usijali kua na amani mkuu we unahitaji ya ukubwa gan na unaenda kutumia kwenye spika za aina gani mkuu
Nakupata fresh mkuu
Mimi nataka nijifuze zaid kuhusu switch mode maana transformer kuzipata ni garama sana
Hio picha hapo juu ni amplifier
Natamani nipate mchoro wa switch mod ambyo output iwe na 30-0-30 v
Ina sound nzurii sanaa
Saiv nachotaka an fbt iteme tu ikisha tema ndio ntajua kioo kimekufa au laa maana circuit ninayo pembeni huku an nimechomoa waya zote ninebakisha wa standby na button tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.