zakayohabeli
Member
- Aug 14, 2019
- 58
- 24
Kuna tv hapa aina ya hitach chogo yaani ilikua inagoma kuwaka sasa nimepambananayo sicruit ikawa imewaka an ila sasa kuleta mwanga kwe kioo ilikua sjafanikiwa an nikiiwasha ilikua inatoa Moshi kwwnye crt sasa nikajarib kuichomoa crt nikaisafisha nikawa nakazia kazia japokua hapakua na luzi yoyote ila tatuzo likawa Bado liko palepale an nikiiwasha inatoa Moshi kwenye crt nikiangalia kilichoungua sikioni sasa.
Skukata tamaa nikaichomoa Tena crt nikaisafisha Tena an wakat wa kurudishia sasa ground ilioshika kioo nikasahau kuirudishia wakat huo nimeshaichoneka crt sasa nimeiwasha tv nikiwa nimesahau kuchomeka ground ya srceen inayoenda kwenye crt nikasikia taaaaaa. Kama kitu nimeungua an nikazima haraka nikarudishia ile ground kuja kuwasha Tena an inawaka stand by tu an hata FBT haitem wakuu msaada tafadhal.
Sent from my TECNO SA1 using JamiiForums mobile app
Skukata tamaa nikaichomoa Tena crt nikaisafisha Tena an wakat wa kurudishia sasa ground ilioshika kioo nikasahau kuirudishia wakat huo nimeshaichoneka crt sasa nimeiwasha tv nikiwa nimesahau kuchomeka ground ya srceen inayoenda kwenye crt nikasikia taaaaaa. Kama kitu nimeungua an nikazima haraka nikarudishia ile ground kuja kuwasha Tena an inawaka stand by tu an hata FBT haitem wakuu msaada tafadhal.
Sent from my TECNO SA1 using JamiiForums mobile app