Ww kujeni hospitali za Tamisemi district hospitals health centre na dispensaries watu wanakaa sana mpaka wananyooka
Halafu unapiga mkwara kuwa wagonjwa wanakaa sana wakati watumishi hawapo especially new established hospitals hazina watumishi kabsa mnataka wajigawaje
Anza na kuweka man power...
Huyu Bashungwa hafai civics yangu tu ya o level inakinzana na uamzi aliochukua na akienda hivi atatengua wateule wa rais wote kulingana na anavyojickia wallahi
Kwa kweli kuna vtu huwa vinanistikisha sana nikiskia mtu keshaanza ngono by 10years to 15yrs.
Kitu pekee ambacho mm huwa nakiona hapa ni malezi tu basi
Mm napenda ngono lkn sikuwahi kihivyo kutokana na pins zilizokuwa zimewekwa home na wazazi
So sad
Sioni tatizo kwenye hii biashara ya ukahaba na inashangaza wanapotumia nguvu nyingi kuzuia hii biashara
Nikimkumbuka rahabu wa kwenye biblia ndo nazidi kushangaa kabsa hata yuda aliponunua mwanamke ili ale mzigo ndo kabsa pumzi inaisha sasa kama kitu ni cha enzi na enzi kwann uhangaike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.