Recent content by zakarya

  1. Z

    Partners sekta ya tools, real estate, ujenzi

    Habari, Kama imeandikwa. Ningetaka kuunda kama society itakayohusu sekta ya ujenzi. Kwa hiyo ninahitaji partners kwa ajili ya: - Kupandisha mtaji - Kutafuta viwanja - Kutafuta wateja - Kuajiri wafanyakazi - Kufanya taratibu zote za serikali. Kama uko serious na una interest na sekta hiyo nipe...
  2. Z

    Viwanja Pongwe 2 vimehitajika

    Habari Ninatafuta mawasiliano kuhusu viwanja vya Pongwe 2, Bei, Ukubwa.
  3. Z

    Partnership : Biashara ya uuzaji mafuta ya gari

    Habari Ningetaka kuanzisha biashara ya uuzaji mafuta ya gari Ninatafuta partner. Masharti : Awe na skype, tuzungumze kwa haraka. Kama hapendi kuandika / Kusoma, sina haja. Ahsante
  4. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    Ninafanya safari mara kwa mara. Nipe ID yako skype kwa messeji, tuzungumze.
  5. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    Skype, skype
  6. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    As Salaam alaykum Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga. Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika. Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi. * Tanga * Mtaji hata mdogo * Mwaminifu * Anajua...
  7. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    Anaweza kuwa wa kike au wa kiume, haina shida.
  8. Z

    Natafuta partner kwenye kilimo

    As Salaam alaykum Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga. Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika. Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi. * Tanga * Mtaji hata mdogo * Mwaminifu (Muislamu...
  9. Z

    Biashara la kujenga nyumba ya bei nzuri

    Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
  10. Z

    Kuunda ofisi ya Architecture (usanifu). Nani yupo nami ?

    Ningetaka kufungua ofisi ya architecture (usanifu). Lakini ninahitaji associates. Tunahitaji kuwa watatu at least. Kila mmoja atashughulika na sekta moja. - wateja - fedha - kujenga - sheria na taifa
  11. Z

    Ninahitaji ushauri kuhusu Fumba Town

    Zile za wajerumani. Huyu ya bakhresa, ninahisi shaka kwa sababu hawafanyi matangazo yoyote
  12. Z

    Ninahitaji ushauri kuhusu Fumba Town

    Bei ya nyumba au appartments ?
  13. Z

    Ninahitaji ushauri kuhusu Fumba Town

    Nani anajua mji wa Fumba town. Mnajua kama kampuni hiyo inaweza kuaminika au hapana ? Nani ameshanunua nyumba huko ?
  14. Z

    Ninatafuta kiwanja kikubwa Lushoto (Shume)

    As Salaam alaykum Ninatafuta kiwanja kikubwa huko Lushoto eneo la Shume lakini bei nzuri.
  15. Z

    Residence Permit Class 'A' (Kibali cha Makazi Daraja A). Lawyer Wanted

    Ninafikiri si tofauti. Kupata permit lazima kusaidiwa na lawyer. Au labda sifahamu chochote. Siwezi kwenda immigration na kuuliza residence permit. Lazima mtu afanye process zote. Mtu huyu ni lawyer au kuna process nyingine ambayo sijui .
Back
Top Bottom