Recent content by Zak Malang

  1. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa uongozi mara moja

    Safi sana! Pulizia dawa kunguni, mende na mbu wote watokomezwe CDM. Twataka CDM mpya kabisa.
  2. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Polisi wetu wana uwezo wa kuonyesha ubabe kuliko kuchunguza matukio ya vifo, utesaji wa raia nk

    Namuunga mkono mtoa mada. kingine wanachoweza ni kubambikizia watu kesi zisizo na vichwa wala miguu, na baadaye kuaibika mahakamani baada ya kesi kutupiliwa mbali.
  3. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Polisi wetu wana uwezo wa kuonyesha ubabe kuliko kuchunguza matukio ya vifo, utesaji wa raia nk

    Hicho ndicho wanachokijua kwa sababu hakuna haja ya kutumia akili au busara. Lakini inapokuja kuchunguza matukio ya vifo, umwagiaji tindikali, utesaji wa raia na utupiaji mabomu katika mikusanyiko ya watu yanayouwa polisi wetu huwa kaput! Utaalamu wa hayo hawana pamoja kwamba kuna wasomi...
  4. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Dkt. Slaa wazuiwa kwa muda Iringa jioni hii

    Bila ya hao mapoliccm -- CCM haina kitu kabisa!!!! CCM kwishney. Pamoja na ishu ya zitto wanayoikuza, CCM wameiona nguvu ya dola!! kama mna ubavu CCM acheni kutumia mapoliccm tuone. Kila saa mbeleko tu!!!
  5. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Vipi JK hazungumzii ufisadi majukwaani? Kwake mimba za wanafunzi ni tatizo kubwa zaidi ya ufisadi?

    Siku akizungumzia ufisadi majukwaani siku ya pili yake jua litachomoza magharibi na kulelekea mashariki! Hana ubavu dogo huyo!
  6. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Vipi JK hazungumzii ufisadi majukwaani? Kwake mimba za wanafunzi ni tatizo kubwa zaidi ya ufisadi?

    Tehe tehe tehe ..... yeah tunda lile lile la mti uitwao EPA! Kweli tuna raisi!!!!
  7. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Vipi JK hazungumzii ufisadi majukwaani? Kwake mimba za wanafunzi ni tatizo kubwa zaidi ya ufisadi?

    Kwenye red: Huyu si aliwahi kusema kwamba wanafunzi wanaopata mimba ni kutokana naviherehere vyao? Au siyo yeye aliyesema?
  8. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Vipi JK hazungumzii ufisadi majukwaani? Kwake mimba za wanafunzi ni tatizo kubwa zaidi ya ufisadi?

    Kwa nini JK akiwa majukwaani au kwenye hafla huwa hazungumzii ufisadi kwa namna ya kukemea na kusema ni tatizo linalohatarisha amani ya nchi? Nakumbuka mara ya mwisho JK kuzungumzia ufisadi ni Bungeni Dodoma, mapoema August 2008 wakati wa suala la wizi wa EPA lilivyoshika kasi. Hata baada ya...
  9. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti gani wa CCM taifa aliyepambana na mwingine katika uchaguzi wa ndani?

    Kwa wao CCM huwa hawataki mwingine apambane na mwenyekiti aliyopo kitini (incumbent) hadi yeye mwenyewe atake kung'atuka, lakini katika vyama vingine maCCM husisitiza sana hilo lifanyika. Ama kweli nyani haoni..... Pambaff hawa Maccm.
  10. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kama mtamfukuza Zitto, anaweza akaondoka na wafuasi wengi mpaka mkashangaa!

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama...
  11. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Too Soon to Lose you!

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama kutokana...
  12. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Zitto anautaka sana uenyekiti CHADEMA?

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama...
  13. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Tumefika hapa kwa sababu ya Udhaifu wa Mbowe, Dr Slaa

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama...
  14. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Kelele zote tunazozisikia CHADEMA ni kwa sababau ya madaraka tu

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama...
  15. Zak Malang

    JamiiForums Tanzania Nilionya kuhusu Zitto siku nyingi sana, hakuna aliyetaka kusikia

    Zito na wapambe wake wanapaswa kulielewa hili kuhusu uendeshaji wa chama cha siasa. Uendeshaji wa chama cha siasa una changamoto nyingi. Kikubwa ni uongozi bora na fedha. Vyote viwili vinachangia kukuza na kuimarisha chama. Uongozi uko namna mbili – kuna wale wnaokiuza chama...
Back
Top Bottom