Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Hicho ndicho wanachokijua kwa sababu hakuna haja ya kutumia akili au busara. Lakini inapokuja kuchunguza matukio ya vifo, umwagiaji tindikali, utesaji wa raia na utupiaji mabomu katika mikusanyiko ya watu yanayouwa polisi wetu huwa kaput!
Utaalamu wa hayo hawana pamoja kwamba kuna wasomi katika jeshi hilo!
Utaalamu wa hayo hawana pamoja kwamba kuna wasomi katika jeshi hilo!