Recent content by Zaiko kapaya

  1. Zaiko kapaya

    Nifanye nini kuongoza vizuri hii biashara?

    Habarini wakuu, Natumaini wote hamjambo! Pole kwako wewe hali yako ambaye haiko vizuri! Naishi mkoani Mbeya nasimamia Biashara ya Hotel ipo Iyunga, kiufupi usimamizi huu najikuta mpaka nakata tamaa kiasi ambacho nashindwa kupata majibu. Kiufupi naperform vibaya as a business "Na kwa mnaojua...
  2. Zaiko kapaya

    Ujenzi umekamilika ni chumba na sebule

    Unamaanisha ukubwa wa futi 50 kwa 150 sawa na mita 15 kwa 45 naweza kukosa pakuchimba septic tank?
  3. Zaiko kapaya

    Ujenzi umekamilika ni chumba na sebule

    Hivi uwanja wa futi 50 kwa 1?futi 150 unaweza kujenga nyumba jnayolingansje?
  4. Zaiko kapaya

    Uzi wa vyakula tu

    Mkuu umepika mwenyewe?
  5. Zaiko kapaya

    Uzi wa vyakula tu

    Naomba maandalizii yake
  6. Zaiko kapaya

    Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

    Kwani hiyo mimba unaenda kuitoa kiss Nini?? Ulibakwa?? Et unasema bado unasoma?? Real hukuyajua hayo kabla? Nadhan Sina chakushauri nenda kaue
  7. Zaiko kapaya

    Mawasiliano ya Mrisho Mpoto

    Kiranja mkuu naomba unisaidie jina la album yakwanza napata jina la album ya pili tu waite
  8. Zaiko kapaya

    Mawasiliano ya Mrisho Mpoto

    Yupo mitandao I lakin kupata direct contact zake ndo imekuwa changamoto kwangu
  9. Zaiko kapaya

    Mawasiliano ya Mrisho Mpoto

    Nashukuru Sana ngoja nikaitafte
  10. Zaiko kapaya

    Mawasiliano ya Mrisho Mpoto

    Habarini! Kama kunamtu anamawasiliano na Mrisho Mpoto, naombeni anisaidie nimejaribu kumtafta Instagram, Facebook na kupitia baadhi ya Media presenters ila sijafanikiwa kumpata
  11. Zaiko kapaya

    Utoaji wa mkopo kwa diploma 2017-2018

    Samahani mkuu, unaweza ukaniambia ulifanyaje maana kunacourse ninahitaji niende kuisoma lakin kwa ngazi ya degree cutting points haziniruhusu lakin nikipitia diploma ninakidhi vigezo,. Naomba kusaidiwa hapo
Back
Top Bottom