Habarini wakuu,
Natumaini wote hamjambo! Pole kwako wewe hali yako ambaye haiko vizuri!
Naishi mkoani Mbeya nasimamia Biashara ya Hotel ipo Iyunga, kiufupi usimamizi huu najikuta mpaka nakata tamaa kiasi ambacho nashindwa kupata majibu.
Kiufupi naperform vibaya as a business "Na kwa mnaojua...
Habarini!
Kama kunamtu anamawasiliano na Mrisho Mpoto, naombeni anisaidie nimejaribu kumtafta Instagram, Facebook na kupitia baadhi ya Media presenters ila sijafanikiwa kumpata
Samahani mkuu, unaweza ukaniambia ulifanyaje maana kunacourse ninahitaji niende kuisoma lakin kwa ngazi ya degree cutting points haziniruhusu lakin nikipitia diploma ninakidhi vigezo,. Naomba kusaidiwa hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.