Recent content by zahiri athumani

  1. Z

    Nauza shamba kwa bei rahisi

    Mimi uko hata free shamba si nunui. Maana mhhhh!!!!!!!!
  2. Z

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Asante Huoni nimejifunza Sasa utaratibu ulivyo ,, hata Mwalim wangu alinifundishaga kwamba ukitaka kujifunza jaribu. Kitu flani mbele ya wakubwa.....kwa kua wakubwa wana busara zao watakukosoa na kukuelekeza na hyo in njia ya kujifunza ,,,,,,,,, asanteeee
  3. Z

    Makapuku Forum

    TANGAZO TANGAZO Nasaidia kufanya usajiri wa vyuo vikuu. Kwani utaratibu umebadilika watu wanafanya application kwa kufika CHUO husika na kuchukua form,,,, ili kuepuka usumbufu nawasaidia wanafunzi. Wataohitaji kujiunga na ECKERNFORDE TANGA UNIVRESITY...kwa mawasiliano zaidi.....(...
  4. Z

    Miliki kiwanja kizuri chenye hati na kwa gharama nafuu.

    Mamba yangu hyo mkuu .. 0719440683
  5. Z

    Makapuku Forum

    Asante
  6. Z

    Nahitaji small Rice Mill combined with Pulverizer

    Jamani Mimi nauliza. Machine ya kusaga na kukoboa vinu na motor zake....being no sh.ngapi.....motor volt 48 HP4.5 RPM 1800
  7. Z

    Pioneer DJM 300 S Mixer

    Jamani tatafuta channel ya mzigo was viatu bombs vya mtumba.
  8. Z

    Makapuku Forum

    Mm ckati tamaa ujuzi wangu tu maana. Nikianza kuuza karanga nitapoteza kipaji changu
  9. Z

    Hataki kunipa talaka

    Pole sana ndugu yangu...muache. Kama yupo miaka 35 kwenda juu usimlaum. Yupo barekh ya pili,,,kama yupo 45 ujue yupo. Barekh ya 3 na unajua adolescence in maji ya moto kua na subira muyamalize kuachana syo poa sana.
  10. Z

    Makapuku Forum

    Asante kwa ushauri niatafanya hivyo kujitolex kwanza
  11. Z

    Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Wazawa wa Tanga mlio Tanga kwetu kwa Sasa mpo???? Au mpo nje ya mkoa wenu
  12. Z

    Makapuku Forum

    Jamani habari za asubuhi,,, MSAADA jamani maisha mgumu baada ya kumaliza CHUO cha nursing. Nikaa tu cjaajiliwa ujuzi wangu utapotea nisaidieni. Nafasi ya ajira jamani hata ya kuuza duka LA madawa au kituo cha Afya ,,cha serikari au binafsi..... Kwa mawasiliano nicheki APA ..nipo tayari...
  13. Z

    NAUZA BIASHARA INAYOENDELEA

    Jamani habari zenu ,,,,,Aliye Tanga jamani natafuta kiwanja cha biashara size ya kawaida tu,,,ya kutosha fremu kama 2 kwa mawasiliano ,,,,,nicheki hapa. 0719440 683
Back
Top Bottom