Recent content by zachaja

  1. zachaja

    Kwanini kitengo cha Clearing and Forwarding kule TASAC kimefutwa na wale watumishi kuhamishiwa taasisi nyingine?

    Utatuma CV yako mkuu, tukikuhitaji lakini pia ukakubaliana na terms zetu tutafanya kazi.
  2. zachaja

    Kwanini kitengo cha Clearing and Forwarding kule TASAC kimefutwa na wale watumishi kuhamishiwa taasisi nyingine?

    Kitengo cha clearing bado kipo na ofisi zao ziko Kilwa Road Bendera 3 kwenye majengo ya Bandari. Alichopunguziwa ni idadi ya bidhaa za kugomboa ambapo kwa sasa anagomboa aina ya bidhaa kama mbili ivi, silaha na vilipuzi (arms & ammunation) pamoja na nyara za Serikali. "Kwa huduma za ugomboaji...
  3. zachaja

    Changamoto za kiuhasibu na kikodi kwa kampuni nyingi za clearing and forwarding Tanzania

    Ni kweli kabisa mkuu hii imekua ni changamoto kubwa kwa mawakala tulio wengi. Tumechukua contacts zako kwa ajili ya kuwasiliana na wewe. Kwa huduma za ugomboaji (Clearing & Forwarding), karibu Ruaha Freight Ltd, kampuni yenye leseni ya Uwakala wa Forodha kutoka TRA. Tunafanya kazi kwa ufanisi...
  4. zachaja

    Nataka kuagiza VW Touareg V6

    Bei hizo ni CIF/CFR price, yaani ni bei mpaka inafika Bandari ya Dar es Salaam Gharama zingine ni kama ifuatavyo; Touareg ya Mwaka 2004:Taxes: 12,690,522.24 (As per TRA calculator) Other Clearance Costs at Dar Port; 1. Clearance Agency fee TZS. 250,000/= 2. Port/ICD charges TZS. 405,000/= 3...
  5. zachaja

    Ushauri katika kuuza gari lililo na msamaha wa Serikali

    1. Mkataba wa mauziano kati ya mnunuzi na kampuni 2. Kitambulisho cha director mmoja. 3. Kadi original ya gari.
  6. zachaja

    Ushauri katika kuuza gari lililo na msamaha wa Serikali

    Kwa kuwa kadi inasoma "Private/Normal" ina maana kuwa gari haikua inafanya shughuli za kibiasharahivyo haiwezi kuwa ina deni. Ili kubadirisha umiliki nyaraka zifuatazo zipatikane
  7. zachaja

    Fahamu Aina za Kodi Zinazotozwa Pindi unapoingiza Gari Nchini

    Kodi zifuatazo hutozwa kwenye magari yanayoingia nchini; 1. Ushuru wa forodha (Import Duty): asilimia 25% ya thamani ya kununulia gari (CIF Value) 2. Ushuru wa bidhaa (Excise Duty due to CC-EX): asilimia 0%, 5% & 10% kutegemea na ukubwa engine (chini ya 1000cc= 0%, cc 1000 mpaka 1,999=5% & cc...
  8. zachaja

    Naomba kueleweshwa kwa wataalamu wa kodi za kuingiza magari nchini

    Agent mwaminifu, huduma bora na ufanisi napatikana kwa anuanu ifuatayo; Ruaha Freight Ltd, Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442 Dar es Salaam. Email: info@ruahafreight.com Website: www.ruahafreight.com Tel: +255222128447 Mob: +255718...
  9. zachaja

    Naomba kueleweshwa kwa wataalamu wa kodi za kuingiza magari nchini

    Japo ni mada ya mda mrefu kidogo around end of June, 2023, nimepitia majibu sijaona jibu la ufasaha. Iko hivi mkuu, ushuru wa bidhaa (Excise Duty) ambao awali ulikua unatozwa kwa asilimia 5 mpaka 10 kutegemea ukubwa wa engine kwa magari yanayotumia umeme na gas, kuanzia July Mosi, 2023 yalianza...
  10. zachaja

    Ushauri katika kuuza gari lililo na msamaha wa Serikali

    Kwanza kabisa hutaweza kupata msamaha wa gari yako ya pili mpaka utakapofuta msamaha wa gari yako ya kwanza aina ya RAV4 uliyoingiza nchini mwaka 2008. Msamaha wako utakuwa umefutwa pindi utakapo ilipia ushuru na kupata kadi ya mpya ambayo itakuwa haina neno "IMPORTY DUTY EXEMPTION". Kodi...
  11. zachaja

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Mara zote katika nyuzi mbalimbali kuhusiana na masuala ya Bandari hua nasema kuwa TPA wanapaswa kuongeza ufanisi kwenye eneo la upakuaji na upakiaji shehena, kuboresha huduma kwa wateja (customer care). Lakini pia Serikali kupuguza vikwazo vya barabarani, kiforodha na kuondoa msongamano kwenye...
  12. zachaja

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Nimeongeza maarifa makubwa juu ya Bandari yetu ya DSM. Pamoja na mradi wa DMGP kuleta faida kubwa ya kuongezeka kwa Meli na shehena. Rai yangu kwa Mamlaka ya Bandari (TPA) waongeze ufanisi, vifaa na mashine za kupakia na kupakua shehena. Kwa huduma ya Clearing & Forwarding kwa mizigo aina yote...
  13. zachaja

    Bandari ya Dar yazidiwa na wingi wa meli zinazosubiria. Baadhi ya Meli zimeanza kupelekwa Bandari ya Mombasa

    Uwepo wa meli nyingi katika Bandari ya Dar es Salaam ni neema kubwa kwa uchumi wa nchi. Rai yangu kwa TPA waongeze ufanisi, vifaa na mashine za kupakia na kupakua shehena. Kwa huduma ya Clearing & Forwarding kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd, Wasiliana nasi; Ruaha Freight Ltd...
Back
Top Bottom