Recent content by zaburi nalukamba

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju: Mishahara ya Majaji ni duni sana, hawana fursa kama mihimili mingine ya dola

    Wanasema ukiona unafanya kazi halafu muda wa likizo unaenda nao na unaowahudumia tafuta sana fursa maana unasafari ndefu.
  2. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepewa mechi nikashindwa kusimamisha

    Yawezekana inatumia solar power,ungejaribia umeme wa maji
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Tunapambana lakini tunaishia kupata pesa za kodi na kula tu

    Yaani uwe maksai😁
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Muwe na Huruma au Ubinadamu hata kidogo, mnapoomba hela

    Michezo ya kuazimana pesa na wanawake muache
  5. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ngoja nivisanue hivi vitoto va Gen Z

    Kwa utafiti wangu mdogo, wazee wengi walikuwa waajiriwa ndio sahizi wanakula kiinua mgongo wachache sana walioamua kujiajili na kuanzisha biashara zao ,wengi walikuwa waoga sababu ya ujamaa kwamba mfumo haukuwaruhusu sahizi wanaishia kutoa vitisho tu,maarifa ya ulimwengu hawana, vijana sahivi...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi mtu mmoja kula kitimoto nusu kilo peke yake akamaliza?

    Kupata wenye IQ kubwa hili taifa tusahau,wew unakula nusu kilo yote ya nini mwilini,ukitaka kuwa timamu dhibiti unachokula haijarishi maana kinachozidi tu mwilini kinahifadhiwa kama uchafu wa awali, wale wa visinia endeleeni tu
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi hiki kitu kinaitwa sleeping paralysis ni cha kweli au ni wachawi wanafanya yao

    Punguza mawazo,kuwa chanya ,usiyabebe mambo ya wengine,punguza wivu itaondoka daima
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni ajenti wa shetani usisome mada hii, utalia.

    Wape maarifa sahihi sio ya kusadikika, mental illness is real
  9. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti! Jioneshe kwa uhalisia wako! Be natural! Don't fake life! Utaishia kwa fake guys!

    Toka lini ulimbo ukawa wa bei ghari kaka,sungura wa thamani anawekewa mbegu moja ya maboga iliyokaangwa kunaswa
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Siri ya Mafanikio ya Kiroho Kwenye Biashara: Funga/Swaumu yenye Roho Safi

    Mababu zetu walitumia njia gani kupata mafanikio kabla ya dini,? viongozi wa dini wanafungaje wapate mafanikio bila kutegemea sadaka za wahumini wanaoenda kutoa jasho na muda wao kupata fedha.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Huu msemo wa kusema kutoa ni Moyo na si utajiri umekaa kitapeli na kihuni sana

    Vipi kuhusu " haraka haraka haina baraka" Umeanika pumba nje mvua inaanza kunyesha.
  12. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hata miezi sita hatujafika na ashaanza kunipiga vizinga

    Sheria inasema huwezi kupata ambacho huna,ukimwambia huna unapungukiwa na nini,kuwa na wewe muigizaji igiza unaumwa uone na yeye atakupatia kidogo hela maana natumaini yeye sio mlemavu anaweza kufanya kazi
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Pesa ya mshahara haitoshi kwa watumishi kwa sababu kuu tatu!!

    Mchungaji unataka ufungue kanisa wapi, maana biashara ya dini imeanza kushamili kila kona kama library.
  14. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini maskini ndio huwa wana wivu sana katika mapenzi na ndoa ?

    Love is the only thing a poor man can provide. Naunga mkono hoja
Back
Top Bottom