Tamisemi wanazingua sana kuhamisha mshahara.. mimi toka mwaka jana hadi leo hawajahamisha, ukienda ofisini kwao wanasema nisuburi tu watahamisha, wakati nashindwa kujaza taarifa ess. [emoji849]
Sema wale wote waduanzi tu, hata huyo jemedar na na oluma hamna kitu zaidi ya kuendekeza hisia zao badala ya profession. Kidogo Geoff na Maestro. Mi nilishaacha kusikiliza efm sababu ya unazi wao usio na msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.