Rudia kupima hio blood pressure hata mara tatu kwa siku hio hio moja ila pishanisha masaa..angalia kama bado inasoma kua ipo juu kama bado ipo juu nenda hospitali ya jirani uonane na muuguzi kwa ushauri zaidi huku ukianza kubadilisha mfumo wa maisha kuanzia lishe mazoezi na kupunguza chumvi...
Kwa anaetaka kuona kama kawa allocated msiingilie website ya HESLB tumia website ya OLAMS nenda home page utakuta kuna maelekezo ya jinsi ya kuona kama upo allocated au la na utasubiri I guess lot 2 na muendelezo wake kama ilivyoo hapo kwenye attachment utainingiza number ya form four then na...
Wacha ifukuzwe tu ni wauaji hawa wengine..hamna walimu hawasikilizwi wala nini walimu wanatakiwa kuwa wazazi wa pili ila siku hizi wakikosa wanachotaka kusomea wanakimbilia ualimu kupata mikopo na kuwapiga watoto wa watu kama wanyama fimbo zinaruhisiwa ila angalia unapo mpiga huyo mtoto.Kwa...
I guess amefungua wazazi macho waone ni nini watoto wao wanapitia huko mashuleni kwao.Tena believe me hiyo ni robo ya mambo ambayo baadhi ya shule zetu za mageti meusi hutufanyia sisi wanafunzi ni unyanyasaji wa hali ya juu sisi shuleni back in the days unapigwa na walimu wa kiume kama tano wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.