Soma ushauri wangu hapo juu
Rejea "update" kwenye bandiko langu la awaliJe sikio linalopiga kelele muda wote? Miluz
Utupe mrejeshonyuma baada ya usiku wa leo kama utawekaNashkuru kaka kwa ushaur wako nadhan kitunguu maji ni rahis kukipata kuliko bange kwa mazingira ninayoishi kwaiyo wote mawazo yenu nitayafanyia kazi
Kitunguu maji hunyonya uchafu ulio sikioni pamoja na faida nilizozitajaKumbuka sio sikio linalouma bali lililoziba kwa nta ya sikio (ear wax).
Wakati wa kulala weka kipande cha kitunguu maji sikioni. Kina uwezo wa kunyonya uchafu na bakteria zilizo ndani ya sikio.
NB: kulala chumbani na vipande vya kitunguu maji (kwenye kisahani) husaidia kuondoa bakteria zinaozoelea chumbani. Pia kina dawa ya kupambana na uvimbe kwa ufanisi wa kutuliza sikio lililoambukizwa, na kuruhusu mwili kupona bila ya "inflamation" na shinikizo la kusababisha maumivu.
Kata kipande cha kitunguu maji ukubwa wa tundu lako la sikio. Unakitumbukiza kwa mfano wa "cotton swab", asubuhi unakichomoaHicho kipande unakiwekaje sikioni mkuu ili kiondoe huo uchafu uliomo ndani kabisa ya sikio???---- hebu fafanua huo UCHAWI mkuu,
Kata kipande cha kitunguu maji ukubwa wa tundu lako la sikio. Unakitumbukiza kwa mfano wa "cotton swab", asubuhi unakichomoa
Mrejeshonyuma, tafadhaliNitajaribu mkuu, Shukrani.
Kama Umeshatumia madawa ya Hospital kama Boric acid...Candibiotic ear drop na Ikashindikana Bhasi Hili ndo suluhisho lako... Mchuzi wa majani ya bhangi
Kushukuru nawe kwa kukubali tiba hiyo mbadalaNashkuru kwa mchangiaji aliyeniambia nitumie kitunguu kama dawa ya sikio....kwa sasa nimepona kabisa sikio langu ......heshima kwenu jamii forum