Asant saana hoksaChuo kipo boko kama unaelekea bagamoyo mazingira yapo poa ila awana huduma ya hostel ivo itabid upange mtaani
Nashukuru sana ndugu..I'll do my best to build the nation..!!Nenda kasome kwa bidii uelewe urudi mtaani kuikomboa jamii. Jitihada zako ni muhimu zaidi kuliko jina la chuo. Kuna waliosoma vyuo vyenye reputation ila bado ni maboksi kichwani. Akina Prof. Lipumba
kwani st John washatoa maombi..?Samahani wana jf kuna ndugu yangu yuko jkt lkn kanambia nimuangalizie kama kachaguliwa st john lkn sijajua niingilie wapi ili niweze pata njia rahisi ya kuona majina ya waliochaguliwa asanten sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia kweny tovuti yao..anza kwa ku-search katika Google hicho chuo then utaendelea..Samahani wana jf kuna ndugu yangu yuko jkt lkn kanambia nimuangalizie kama kachaguliwa st john lkn sijajua niingilie wapi ili niweze pata njia rahisi ya kuona majina ya waliochaguliwa asanten sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi majina ya waliochaguliwa yamewekwa kwenye website ya chuo...?Ingia kweny tovuti yao..anza kwa ku-search katika Google hicho chuo then utaendelea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi majina ya waliochaguliwa yamewekwa kwenye website ya chuo...?Ingia kweny tovuti yao..anza kwa ku-search katika Google hicho chuo then utaendelea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu,na mm nasoma pale st joseph(boko),Habari wakuu..
Ninaomba kwa yeyote anayekifahamu vizuri chuo cha afya St. Joseph kuhusu kiwango cha taaluma itolewayo na mazingira ya kuishi kiujumla. Nime-apply diploma in nursing pale.
Napenda kuwasilisha, hsanteni.
Kuna hostel upande wa wavulana???maana nimechaguliwa diplomaKaribu mkuu,na mm nasoma pale st joseph(boko),
Mazingira ni mazuri na pia ufundishaji mzuri na ni bora
Maabara za kutosha na makitaba ni nzuri kwa kujisomea na ina materials tofautitofauti about health .So karibu sana
Mambo mengine utajionea mwenyewe
Welcome
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo text umetumiwa kwenye profile o phone? Msaada mkuuNimetumiwa text inasema "You are provisionally selected to join SJCHS for...." naona ndio nimechaguliwa
Nlitumiw katk profil pamoj na kweny phon no.Hiyo text umetumiwa kwenye profile o phone? Msaada mkuu
Asante CR by jooh hapa....hadi huku kaka [HASHTAG]#respect[/HASHTAG]Karibu mkuu,na mm nasoma pale st joseph(boko),
Mazingira ni mazuri na pia ufundishaji mzuri na ni bora
Maabara za kutosha na makitaba ni nzuri kwa kujisomea na ina materials tofautitofauti about health .So karibu sana
Mambo mengine utajionea mwenyewe
Welcome
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mm wananiambia kuna hostel mkuu au wananidanganya?Kipo boko opposite bagamoyo road kipo vizur but wanafunzi wengi wamepanga kitaa so wahi katafute chumba ila mazingira ni mazur
Sent using Jamii Forums mobile app
P1 mkuu
Sio kweliHicho chuo kinasumbuliwa sana na serikali, Mwaka huu wamekifutia kutoa kozi za degree, Kama umechaguliwa kingine hama