Recent content by Yusuph Songela

  1. Y

    Rais Magufuli akutana na Prof Lipumba, Ikulu - Dar es Salaam

    Hongera Rais pia hongdra pro hii ndiyo Tz tunayoitaka !
  2. Y

    Wabunge wa CCM, mnayakataa haya kwa Maslahi ya nani?

    Mh. Spika kama sheria na kanuni za bunge zitaundwa kwa maslahi au manufaa ya mtu au chama ni hatari kwa mustakabali wa taifa letu ! Usiwagawe wabunge kwa misingi ya vyama vyao vya upinzani. Inawezekana kwa ukawa kushirikiana na Act bila ya kik ya ccm kwani wotelengo lao ni kuisimamia srikali...
  3. Y

    Wabunge wa CCM, mnayakataa haya kwa Maslahi ya nani?

    Kama lengo lao ni kuhakikisha mh. -------- awe mwenyekiti basi hakuna haja ya kulumba na kuanza kurushiana vijembe na matusi , -------- apewe kamati zote aongoze ikibidi asaidiwe na wabunge wa ccm
  4. Y

    Ufaransa wanaua watu Syria Dunia imekaa kimya

    Wauawe tu , hamna namna maana wameua watu wengi wasio na hatia na wakiachwa wataendelea kuua !
  5. Y

    Hofu ya tifu: Kikwete atachoka na kususa

    Kwa ajili ya uponyaji wa taifa letu , majipu ni lazima yatumbuliwe hamna namna !. Hakuna kuchoka ,dr atayatoboa kwani hapa kazi tu!
  6. Y

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Mleta mada elewa kwamba mh. Rais alikuwa analihutubia bunge kwa kuelezea mwelekeo na vipa umbele vya serikali yake kwamba hatafanya kazi kwa mazoea , kwa kueleza kwa uchache gharama ambazo kama taifa zinaweza kuepukwa ! Nimemkubali Rajs wetu ana hofu ya Mungu. Hapa kazi tu
  7. Y

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Mh. Rais ameongea ukweli ! Hakupenda awe mnafiki kwa kuwafurahisha baadhi ya wanafiki waliomo serikalini. Wabadhilifu na majizi ya rasilimali na fedha za umma TINGATINGA hilo. Hapa kazi tuuuiiu
  8. Y

    UKAWA tumuunge mkono Rais wetu Magufuli

    Mh. Magufuli ameonyesha uhalisia wake ! Ana mapenzi na nia ya kweli kwa watanzania. Tumpe sapoti Rais wetu
  9. Y

    Wabunge wa UKAWA tunawategemea hamtachukua kuchukua posho katika bunge hili la 11

    Hivi wazalendo ni kwa wabunge wa ukawa tu ? Je mbunge asipochukua posho ndiye mzalendo ?
  10. Y

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Mh. Rais pia unatakiwa kuwaondoa wataalam wanaoendesha hizo mashine za MRI na CT kwa sababu wao ndio chanzo cha hujuma
  11. Y

    Mgogoro wa Zanzibar: Wasiwasi dhidi ya vikao vya Maalim Seif

    Wewe mtoa mada acha uchochezi ! Maalim Seif ni mtu makini , pia mh. Rais ni mtu makini. Waache wajadiliane kwa manufaa ya taifa.
  12. Y

    GE2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

    Magamba yameanza fitina. Kwa nini usiseme kwa mama yako kumechafuka ??
  13. Y

    Sitta: Nikikatwa uspika nitakimbilia mahakamani kufungua kesi

    Na akatwe tu kwani hamna namna
  14. Y

    GE2015 Asante Edward Ngoyai Lowassa

    Mh. Lowassa ww umekuwa nguzo ya mabadiliko ya kweli Tz , tumekuelewa
Back
Top Bottom