Recent content by yusuph bukombe

  1. Y

    Mambo ya kuzingatia kabla hujasoma Biblia

    Basi kwa minajiri hiyo wayahudi Wana haki ya kumkataa yesu kwasababu sio vinasaba wao Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  2. Y

    Mambo ya kuzingatia kabla hujasoma Biblia

    Mi naomba kuelimishwa kidogo ukisoma mathayo anaelezea ukoo wa yesu utaona kutoka ibrahimu mpaka yakobo aliyemzaa yusufu (baba yake yesu) katika vizazi kumi na nne sasa hoja na swali langu lipo hapa Kama tunaambiwa yesu alitokana na roho mtakatifu maana kigenetically hayupo kwa yusuph sasa...
  3. Y

    Mo Dewj mjanja Sana

    Safi sana kwa jibu ulilompa hata yy akitaka aende pale awekeze aiibie club maana ukimuuliza katika club anayoishabikia hata kwa mwezi elfu moja anatoa?
  4. Y

    Hawa ni Viongozi waliotumbuliwa na hayati Magufuli kimakosa kwa sababu za kisiasa au chuki binafsi

    Hapo sasa na ww umechemka Kama papai limetoa juice au takataka utasema kwa watu mashine imetoa unga ulitakiwa useme jamani imetoa kitu cha ajabu hapo watu watakuelewa eti ukisema mashine imetoa juice chafu watu watakuona nanga
  5. Y

    Chanjo za Corona ni ovyo kabisa

    Mara hao waliochanjwa wanageuka mazombi duu sijui itakuwaje
  6. Y

    Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

    Mtamuonea bure mtoa mada maana yeye ni Mtanzania hiyo dini anayozungumzia sio asilli yake amepata mapokeo tu kutoka kwa wengine jamani tuamini Imani zetu hata ukiulizwa unapakusemea.
  7. Y

    Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

    Kaka this is not the joke hiyo hali imetokea kwa watu wengi hata Mimi pia ila Mimi nilichokifanya nilikuwa nakula tangawizi mbichi kavukavu hiyo hali hudumu Kama wiki mbili halafu hupotea,asikutishe mtu
  8. Y

    WHO yasema idadi ya wagonjwa wa Corona wanaoripotiwa Afrika sio sahihi

    Nakumbuka mwaka Jana niliugua mafua fulani hata sijui yakoje Kuna upepo mbaya ulipita watu wengi kidogo yalitushika yaani ukilala usiku unakoloma Kama mbuzi au Kama mtu anapiga ngoma chumbani,nikikaa Kama mwezi ndio nikanywa dawa,mungu anatupenda anajua kabisa nikiwafulumushia wote wanaondoka...
  9. Y

    Tunafunga na kuuza vioo vya TV

    Kweli bongo tunasafari ndefu tutatusua kweli kijana kaweka uzi wake kwa ajili ya biashara yake Kama unahitaji kwenda unakwenda hutaki basi maana naona mpaka wengine wanajimwambafai na pia Kama unaona ni dalali si ametoa maekekezo ofisi ilipo kwa walio dar,nenda pale ofisini wakikutapeli...
  10. Y

    Kujirudi kwa CHADEMA kwashangaza! Wengi wahoji huenda ni mbinu za Mbowe kuzima makombora ya Sumaye?

    Duniani watu tunashida Sana mtoa mada hata kama mbowe asingehudhuria leo angetoa mada nyingine Kuna watu wapo kwa ajili ya negative issues siku zote mi binafsi magufuri,mbowe ni watanzania tofauti zipo kwenye itikadi kama Simba na yanga ikija issue ya taifa stars ameshinda tunaruka pamoja...
  11. Y

    Hongera uingereza kwa GOAL LINE ila VAR ni ya uongo.

    Ajaangalia mpira huyo amehadithiwa
  12. Y

    Jamani ! Mashine za DNA zinatambuaje mtu kuwa ni fulani , jina lake ni hili hata kama aliteketea kabisa ?

    Sasa mimi nauliza kwa ufahamu wangu mdogo kama wanasema binadamu tulitoka kwa baba Mmoja na mama Mmoja Adam na Eva sasa kwann DNA zitofautiane
  13. Y

    Hongera Rais kwa hili la kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo nakuunga mkono 100%

    Unajua sisi watanzania wanafiki sana na hii ndio tabia tuliorithishwa naamini mkuu akesema tuendelee na mradi huyuhuyu mtoa maada atakuja na kusifia sioni tofauti na ile ya kikokotoo
  14. Y

    Tandahimba: Wakulima wa korosho wampongeza Rais Magufuli

    Unyonge ndio imekuwa sifa watanzania sisi bwana
Back
Top Bottom