Hongera uingereza kwa GOAL LINE ila VAR ni ya uongo.

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
5,159
5,399
Nimeamua kusema hili kutokana na maamzi ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Manchester United.
Goli lilioneshwa kuwa Abu alifunga akiwa offside na siyo onside.

VAR nayo eti ikakubali kuwa halikuwa goli.Huu ni ujinga maana maamuzi ya VAR yanategemea mtu kuamua kuliko ilivyo kwa Goal line ambayo ni computered.

Ni wazi uingereza waiondoe VAR haina msaada wowote zaidi ya kuumiza timu.

Muongozaji wa VAR jana aliipendelea Manchester United kwa kitendo cha jana.

Screenshot_20191001-083329_YouTube.jpeg
 
Huyu jamaa vipi? Uliangalia mpira kweli mkuu. Au ndio nyie mnaangalia mpira live score.
Na goal line haina ishu sana maana yenyewe inasoma tu mstari wa pale golini ambapo ni mara chache sana utata kujitokeza.
 
Hapo sawa hilo goal var ililikubali Mara baada ya linesman kusema ni offside so matokeo ya Jana ni moja moja na hilo ndo lilikuwa goli la kusawazisha kwa arsenal
Nilipata hasira nikazima tv nikaenda kulala baada ya kuona kibendera anasema ni offside nikajua hata VAR imesema hivyo.
Hata asubuhi niliposikia ni moja moja nikajua lile la offside halikukubaliwa.
Duuuuh kazi kweli ipo.
 
Kuna wengine huwa hawaangalii mpira bal hua wanaangalia Tv!!
Sasa wewe Chagua kundi lako kati ya haya mawili

(i)Hua unaangalia mpira
(ii)Hua unaangalia Tv
 
Back
Top Bottom