Recent content by Yusumchalo

  1. Yusumchalo

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Unajua maana ya sisi wananchi ww?sema wewe na sio sisi halafu alie lock down ni nani huyo mtumishi au serikali? Kwanza we mwananchi wa nchi gani kwanza?
  2. Yusumchalo

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Yaan mpaka unatamani kumwambia ukweli kuwa aisee umeibiwa.
  3. Yusumchalo

    Natafuta kazi

    Hahaha
  4. Yusumchalo

    Wenye uhitaji wa mchele wa Kahama

    Natafuta watu wanaofanya biashara ya mchele sehemu za miji tuweze kufanya biashara ya mchele kama tunaweza kukubaliana niwe nakununulia kutoka kwa wakulima na kuukoboa pamoja na kuugrade na kuutuma sehemu ulipo ambapo gharama huwa nafuu niko na uzoefu wa kufanya kazi hii na sehemu nilipo ndio...
  5. Yusumchalo

    Msaada: Hii shule ya St. Jude Arusha ukiomba kazi lazima ulipie?

    Unajaza online au?na je ni official page yao?
  6. Yusumchalo

    Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

    Thanks chief but want i need is someone to tel me that according to your capital you can do this business with whole structure plan(means business suggestions and plan)[emoji120]
  7. Yusumchalo

    Wahenga ni akina nani hawa?

    Kwahiyo chief kila aliepitie viunzi vingi ambavyo ni vigumu na vyepesi ni mhenga?
  8. Yusumchalo

    Wahenga ni akina nani hawa?

    Sababu inayokufanya wewe kujiita mhenga ni ipi?
  9. Yusumchalo

    Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara (Business Plan)

    Nina kiasi cha hela cha laki tano nataka kufanya biashara naomba wazo la biashara(structure business plan)nataka nijiajiri
  10. Yusumchalo

    Wahenga ni akina nani hawa?

    Naomba kuuliza tunaposema misemo ya wahenga hawa wahenga ni akina nani haswa?
Back
Top Bottom