hapo hakuna udini osama ni osama vitayake na marekani haihusiani na uislam hivyo bas admin alitazame hili swala ikiwezekana post azitoe zinazohusu hiliswala ni hayo 2
Mtoa mada labda niseme watu weusi tunaakiri nyingi kuzidi watu weupe. Watu weupe hawataki tuonyeshe tuliokuwa nayo hivyo basi hutuwekea vikwazo vingi ikiwemo ugonvi wa wenyewe kwa wenyewe marazi madawa ya kudumaza akili zetu nimambo mengi tu wewe mwenyewe unajua nafikiri
Na yeye alimtumia kanumba sio kwamba kanumba tu ndiye alie mtumia lulu kikwete alisema ukitaka kula razima na wewe uliwe lakini sio kuuwa
Naunga mkono hoja jaji achunguzwe kwa hukumu alio itoa kwa lulu
Wanajanvi nashida na hizo PS mwenye kufahamu mahali au sehem zinako patikana kwa dar au sehemu yoyote amboyo usafiri hausumbui naomba tuwasiliane kwa Whatsup no.0621706889
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.