Kwa aina ya mfumo wa maisha tulionao watanzania hakuna mwanasiasa atakaekubalika kama hasemi uongo ni kudanganywa tuu na ndicho tunachotaka kusikia eeeh mungu tunusuru
Na hyo zuhura amtafute magufuli amuulize 1) Taifa limenufaikaje na meli ya samaki?
2)akiwa waziri wa ujenzi kuna wakandarasi wazalendo wanne inasemekana wametangulia mbele za haki kwa kuwa tu malipo yao ni mzungusho
3) Je ni kweli makandarasi hasa kutoka china wanalipa nssf?
Jmani mmi napata mashaka sana,kilichopo ni ssi tuandae na tutake nni hawa politician wafanye na tuweze kuwawajibisha,lkini kwa staili hii tukishawapa kura tuu wao ndio wajanja wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.