Recent content by yusimi

  1. Y

    Wanaume wengi ni mabubu kitandani mjiongeze

    Kwa pesa gan unayotoa.. Tena watu kama nyie ndo wakopaji wazuri
  2. Y

    Wanaokopesha magari

    Mil2kianzio. Nimeajiriwa kwenye private company
  3. Y

    Wanaokopesha magari

    Habarini wana jf wenzangu Mimi na umri wa miaka 25.nataka nimiliki gari. Naomba yeyote anaejua wanaokopesha magar anipe contact au directions. Nataka gari ndogo inirahisishie mambo madogo madogo. Asanteni
  4. Y

    Jinsi ya kuagiza vitu kutoka nje na kusafirisha kupitia ndege

    Habarini wana JF wenzangu, Naombeni msaada Nataka kuagiza vitu kutoka nje lakini vije kupitia ndege. Je kuna yoyote anajua anifahamishe utaratibu? Natanguliza shukrani Asante
  5. Y

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Ali express ebay amazon zote ziko salama.order tu
  6. Y

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Ulikuwepo akilini mwangu.nami nlitaka niulize hilo
  7. Y

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu naomba namba ya simu.nadhani mimi ntakua mmoja wapo wa balozi wako.
  8. Y

    Wasichana wa Dar ni wavivu kitandani

    Wewe una staili gan kwani zaidi ya hizo.mana kama umefanya hizo inamana na wewe uliilziinjoi.ungetaka mpya unge introduce
  9. Y

    Wasichana wa Dar ni wavivu kitandani

    Toa hela uone kama msemo wako ni sahihi.utakua bahili wewe ndo mana unapata magogo
Back
Top Bottom