labda wa ccm maana zimeruhusiwa simu feki kutoka kwao kwa hongo za mashirika ya viwango vya bidhaa ili ziuzwe kwetu leo kwa kutumia kodi zetu wamenunua mtambo wa kuzimia hizo simu yaani Tanzania ya ccm ni changa la macho
hata hawa wanaojidai wanapinga haya adha ya sukari hamjaiona au ni wanaporojo tu ili na nyie mpate vyeo hana nafasi za kuwapa wote penye ukweli tukubali siyo kufumbia macho ili kesho mnalalamika huku mnamkumbatia chawa au kupe wenu na kusema (mimi ni nimeumbwa hivihivi na Mungu wangu nikiwa na...
kuwadanganya wananchi kwa kutumia watumishi wa Mungu? au yote mnayofanya ili kuwaaminisha wananchi, yaani mapigo ya Mungu hayakawii tusubiri ya kutokea majuto ya yote yako wana CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.