Recent content by Yudah

  1. Yudah

    Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

    Very sorry,Kama kweli haupendi ,hebu achana baue
  2. Yudah

    Hajia Manara aonekana Mwanachi Day japo adhabu yake inaendelea

    Hahahahaa!! Hana jipya
  3. Yudah

    Warembo wa Bukoba

    Hahahah!! Typing error
  4. Yudah

    Je,wajua?

    Pichani [emoji652][emoji652][emoji652] Hii ilikuwa ni ibada iliyoitwa QHAPAC BUCHA au CAOACOCHA .ibada hii ilikuwa maalumu ikifanywa na watu jamii ya INCA karne ya 15 huko COLOMBIA ,walikuwa wakiwatoa sadaka watoto wao kwa miungu yao waliyokuwa wakiiamini. Zaidi ya watoto 140 walikuwa...
  5. Yudah

    Messi hawezi kuwa Bora Nje ya Barcelona

    Nakuunga mkono ariff
  6. Yudah

    Simba huyu straika Msouth asipewe mkataba

    Yeah! Nikweli kaka, Huyo jamaa anaitwa RYAN MOON ni mzawa wa hapo apo kwa MADIBA. kiukweli huyu kinda hana records nzuri. Amecheza mechi 25 na amepika goli tano.hapo ni ktk chub yake ya kaizer chief. Katika timu yake ya taifa amewah kufunga goli moja tu. HAFAI HUYU. TATIZO:simba wanapenda sana...
  7. Yudah

    Tuwe makini katika kuchagua

    Nikweli kabisa, Ila kama hujaoa au kuolewa pls usijekujiona kuwa mjanja na ukajifanya kuwa utakachochagua ndio bora sana. Laiti kama M.MUNGU angelitupa maono makubwa ya kujua ya mbeleni,wala tusingefanya makosa.elewa makosa yapo kwa ajili yetu ili tujifunze, kuna siri kubwa ambayo mimi nawewe...
  8. Yudah

    USAJILI WA WACHEZAJI EPL: TOA HUYU! INGIZA HUYU! AZAM FC YAACHA WA8!

    Jamani seriously,azam hawanaga soka la ushindani TPL. maana uwa siwaelewagi kabisa,hata aende mchezaji mzuri sana uwaga awajuagi kumtumia. Leo wamewatema KUTINYU, SINGANO, LYANGA, ATA, CHIRWA. kwa upande wangu naona haikua na haja ya kuwaacha wote hawa,nadhan AZAM FC wamerudia makosa,makusudi...
  9. Yudah

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    USHOGA sio laana acording to me, Pengine what i know is ushoga unazaliwa sehemu nyingi sana, 1.SHULE za jinsia moja, 2.GEREZANI na pia 3.MITAANI hasa kwa wanaolala wengi wanaume tupu Hizi ni bahadhi ya sehemu ambapo USHOGA na USAGAJI huwa unazaliwa au unaanzia ingawa wapo watu wanaozaliwa...
  10. Yudah

    Kikosi cha wachezaji 23 cha Taifa Stars AFCON 2019 chatajwa

    Namshangaa coach, Like tunaenda kujaribu vile,hata kama kuwa na imani ariff lakini c kwa hali hii. Banda,kichuya+ Duh!! GOD BLESS US......
  11. Yudah

    Nikioa nitazama uvinza!!.

    Jaman c uniambie momy
  12. Yudah

    Nikioa nitazama uvinza!!.

    Oohhh!! Do not be scared plss. Naweza kukujua zaidi?
Back
Top Bottom