Recent content by Yuda Legacy

  1. Yuda Legacy

    Manabii wetu Mungu awabariki, wanatabiri mambo ambayo hayatokei

    KWA SASA NABII NI MMOJA TU YESU KRISTO TUNAOMBA KWA YEYE TU SHIDA WATU HAWASOMI BIBLIA TANGU KUANGIKWA KWA YESU MSALABANI MUNGU AMEMFANYA YESU KRISTO KUWA MKUU WA WAKUU NA NABII WA MANABII UFALME WAKE NI HAUNA MIPAKA YEYE HUWAPONYA WAMTAFUTAO KWA MIOYO YAO YOTE NA WAMPENDAO
  2. Yuda Legacy

    Kwa nini Waafrika tunaweka juhudu kwenye kuomba Mungu kuliko kujituma kufanya kazi na kuwafundisha watoto ujuzi mbalimbali?

    WATOTO WA YESU SISI HUWA HATUROGWI TUNALINDWA NA DAMU YA YESU MIMI NAAMINI WAAFRIKA WOTE TUNGEOKOKA NA KUMPOKEA YESU TUNGEKUWA MBALI KITEKNOLOJIA
  3. Yuda Legacy

    Ni vipi Ufalme wa Mungu uko ndani yetu?

    Asante ndugu min -me japo kichwa yako ni Ngumu ila Nakuombea Yesu akufungue,,,,,,, ... Najibu👉 Ufalme wa Mungu upo ndani yetu ikiwa na maana ya matendo yetu mema Hauwezi sema Ufalme wa Mungu upo ndani yako wakati matendo yako hayana wema Wema ni zao kutoka katika upendo na upendo ndio AMRI...
  4. Yuda Legacy

    Ni vipi Ufalme wa Mungu uko ndani yetu?

    SAFI UZI MZURI YESU NI MWEMA
  5. Yuda Legacy

    Kwanini ubake wakati unaweza kupiga punyeto?

    KULIKO KUWAKA TAMAA NI HERI KILA MTU AWE NA MKE -YESU KRISTO
  6. Yuda Legacy

    Pepo la uaguzi ni nini/kitu gani

    KWA UELEWA WANGU MIMI NAONA NI VITU VIWILI TOFAUTI MAANA KATIKA KISWAHILI UAGUZI NA UTAMBUZI SIJUI KAMA YANA MAANA INAYOFANANA LABDA NGOJA TUWASUBIRI WATAALAM
  7. Yuda Legacy

    Ni sahihi kufanya mapenzi kwenye gari?

    DHAMBI YA ZINAA NI MAUTI. YESU NI MFANO BORA ALIEFANIKIWA KWA KUTUFUNDISHA KWAMBA MWILI NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFU. ZINAA HULETA GUNDU NA UMASIKINI MKALI
  8. Yuda Legacy

    Pepo la uaguzi ni nini/kitu gani

    NI UCHAWI PIA BIBLIA IMEUZUNGUMZIA KWENYE KISA HIKI CHA SAULI KATIKA HARAKATI ZA KUMTAFUTA DAUDI 👇👇LAKINI HAPA UMEITWA "UTAMBUZI" 1 Samweli 28:7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia...
  9. Yuda Legacy

    Kenya: Takribani TSh. Bilioni 30 zaibwa Benki ya EQUITY. Mkurugenzi afukuzwa

    HATA YESU KRISTO ANATUFUNDISHA WIZI SI KITU CHEMA KWA AIBAE NA ANAE IBIWA
  10. Yuda Legacy

    Tetesi: Inasemekana wagner group waamua kuisupport ukrane

    YESU ANATUFUNDISHA TUSIWE WAGOMVI
  11. Yuda Legacy

    Condom gani inautamu zaidi?

    YESU ANATUFUNDISHA TUSIWE NA TAMAA NA KUWAZA UZINZI NI HERI MTU KUOA MAANA HAUTAWAZA HATA HIZO KONDOM
  12. Yuda Legacy

    Gaddafi hakuuwawa sababu ya mafuta.

    KWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
  13. Yuda Legacy

    Uliwahi kufanya tukio gani shuleni mpaka mwalimu/waalimu wakakushangaa kuwa na wewe kumbe umo ila huvumi.

    HATA BABA YESU NI MPOLE ILA WALIVYO ANZA KULIGEUZA HEKALU TAKATIFU KUWA SOKO WENGI NADHANI WALIJUA HAVUMI ILA AKIKASIRIKA KUMBE YUMO PALE NDIO UNAJUA YESU KRISTO HACHANGAMANI KABISA NA DHAMBI
Back
Top Bottom