Punyeto ni mbaya kiafya na pia ni dhambi, tumeumbiwa wenzi wa maisha kila mmoja wetu, tena tunapaswa kuwa na mwenzi mmoja wala si zaidi, kama bado hujawa na mwenzi wa maisha Biblia inatutaka kujizuia na tamaa za kila namna,,,...Galatia 5:24,.
1korintho.6:9-10,
1korintho.6:15-20