CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

Watanzania tu wabishi sana hata kisichotakiwa kupinga tutapinga tu, hata kama hatuna uelewa tutapinga almradi tuonekane tuna hoja.
Ni wazi kuwa wako watanzania wanaweza kumudu hiyo nafasi, swali la kujiuliza mna uhakika gani kama walishindanishwa na huyu dada akawapita wote? Jamani mwenye uwezo apewe haki yake, tusilazimishe mambo. Pia, hapa tunapigiwa kengele kuwa tumelala...tuamke wandugu wenzetu wametuzidi. Hivi ni wakenya wangapi wanaendesha makampuni makubwa huko Ulaya, Australia na America? Je, hawakuwepo wazungu wazawa wenye uwezo? Kumbukeni Vodacom iko kibiashara hivyo inataka faida, na inamhitaji mtu wanayeona anakidhi viwango vya malengo waliyojiwekea.

Tusomeshe vijana na watoto wetu, tuwahimize elimu sio kufaulu kwa alama nzuri bali ni kuwa na ujuzi na kuonesha uwezo wa kuutumia. Inauma sana kuzikosa nafasi kama hizi, isiwe sababu kumwaga mapovu bila kuangalia uhalisia.
 
Tukianza ligi ya mambo haya,wakenya ndiyo watapoteza.Sisi tuna fursa nyingi sana.Tuna kila aina ya raslimali ambayo Kenya inakosa.Kuanzia ukubwa wa Ardhi yenye rutuba,Madini ya kila aina,misitu,maji baridi na bahari nk.
Ukubwa wa TZ ni zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda,Burundi,Malawi na Zambia zikiunganishwa pamoja.
 
Tukianza ligi ya mambo haya,wakenya ndiyo watapoteza.Sisi tuna fursa nyingi sana.Tuna kila aina ya raslimali ambayo Kenya inakosa.Kuanzia ukubwa wa Ardhi yenye rutuba,Madini ya kila aina,misitu,maji baridi na bahari nk.
Ukubwa wa TZ ni zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda,Burundi,Malawi na Zambia zikiunganishwa pamoja.
Kwa kili hizi CCM itatutawala mpaka itachoka yenyewe......Duh Tz nikumbwa kiasi hicho
 
Hii ishu si kwamba amekataliwa sababu ni mkenya..ulizeni CEO na COO wa exim bank wako wapi sasahivi,walinyimwa kurenew permit two months ago na wakatakiwa kufungasha virago fasta na mpaka sasa kuna wabongo ndio wana act kwenye hizo nafasi. The same to CRDB naskia kuna baadhi ya wakurugenzi nao walifungashiwa virago.. Huu moto ndio kwanza umeanza subirini muone wengi watakavyofungashiwa virago..so kenyans don't take it personal huu ndio mziki wa JPM
 
Tunapo sema Tanzania sio tena shamba la bibi wakenya tunaomba mtuelewe.

View attachment 767348
Uuuuwiiiii: kuna tenda hapa kwa wanasheria nguli. Waliopinga bombardier wakawapa maadui, na wale waliompinga Rais wakisema professorial rubbish, walisema hizi ni kazi za kimataifa MIGA na Swiss Accords. Walaomba tulaaniwe tususiwe ba mataifa kwa kudai haki zetu. Sasa nendeni VODACOM muwatetee mpate fees.
 
Nashukuru Zitto Kabwe kalieleza hili leo huko twiter na kasema wazi kama kulikuwa na mgeni anaongoza Voda hana tatizo kwa mkenya kuongoza pia kama alimkubali wa kwanza japo angependa angekuwa mtanzania ila isiwe issue ya kututoa katika mambo ya msingi upotevu wa pesa 1.5 na kupotea kwa watu. Nimemuelewa sana tu.
 
Ww utakuwa mkenya ,Acha uongo usio na msingi haujaishi na wakenya ww ungekua umeishi nao usinge ropoka
Wewe ndiye unayajua maisha yangu, au mimi ndiyo nayajua maisha yangu???

Watanzania wengi mnawachukia Wakenya sababu ya "inferiority complex". Lakini kwa sisi tunaojitambua wala hatuwezi kuwachukia sababu tuna-compete nao katika nyanja zote. When it comes to work, Kenyans are more committed, aggressive and faithful than Tanzanians, but that does not mean they are smarter than us.

Kwa upande wa Watanzania katika kazi wengi wao ni wazembe, wavivu, wezi na wanapenda porojo kuliko uwajibikaji. ndiyo maana kazi hiyo hiyo akipewa Mkenya anaonesha tofauti na ndiyo maana Watanzania tunajenga chuki dhidi ya Wakenya. Siku zote mtu akiwa ni mchapa kazi, Watanzania huwa wanatabia ya kumchukia. Hii mentality imejengeka katika kila sekta hapa Tanzania. So pathetic nation!
 
So tuanze kulipishana kisasi? An eye for an eye leaves the whole world blind. Endeleeni na hio upuuzi. We cannot wrestle with a pig in the mud. You guyz are so insecure and paranoid.
And youbare so greed like pigs
 
Mbona rahisi tu hii? Wanachukua mzungu au mhindi ambaye ana permit tayari ya Tanzania, wanampa hiyo nafasi
 
Ukiangalia coment zingine hapa zinashangaza.eti kenya wanataka kuua makampuni yetu.swal je vodacom ni ya nani?Je mwenye kampuni haoni co anapeleka vibaya kampuni?.Nachoona tukubali tu ile slogan ya sasa kwa watawala wetu wazawa kwanza bila kuangalia unyeti wa sehemu.
 
Kuendesha shirika au biashara kunahitajika mengi zaidi ya kukaa miaka mingi darasani.

Ni shirika lipi la Tanzania linaloongozwa na mtanzania liliwahi kukua kwa kasi na kuleta faida? Watanzania, kuanzia serikali mpaka watu binafsi, wengi wao ni wataalam wazoefu wa kuua biashara au kuendesha biashara kwa hasara.

Kama unataka kuua biashara, the right person to put at the top position, must be a Tanzanian with long experience in government office.
Sawa na nakubaliana na wewe. Lakini je umejiuliza ni kwa nini?
 
Tatizo sio kutoka nje lazima tuangalie ni kwanini hizi kampuni zinatoa nafasi hizi kwa watu wa nje. Mimi sitaki kutaja jina la kampuni nilienda kununua material wizi unaofanywa pale unaweza kufa. Mali ya ma milion niliuziwa kwa pesa ndogo tu yaani ni hatari. sisi hatuna uaminifu maana hata serikalini ukisikia mhasibu tu ujue huyo ana majumba na mali kila sehemu. sio kwamba wageni hawaibi labda la wanaiba ila kwenye faida ila sisi mpaka mtaji.
Aisee upo sawa kabisa, Nina mfano hai Kuna wazungu WA Europe walitaka kuwekeza Tanzania wakatumia tccia kutafuta mbia mtanzania wakanipata mimi kupitia huyo mfanyakazi WA tccia.
jambo la ajabu badala ya yule mfanyakazi wa tccia kukaa pembeni akiwa mwangalizi nae akawepo kwenye huo mradi WA ubia Kati yangu na hao wazungu akatumia ofisi ya umma kujinufaisha.
wazungu wakituma ela anakula hata kunipa kidogo akashindwa Mimi nikatumia garama zangu kwenye kazi.
mwishoni alikuja kuwaibia US$ 30000 na ukawa mwisho WA mradi ilikuwa 2009/2010.
hii Ni tabia ya tamaa ya kujipatia utajiri WA haraka bila jasho iliyoenea hapa Tz.
 
Zero brain bi

Zero brain Bibi yako, narudia tena nenda Kenya kajaribu kupata nafasi yoyote ya juu kampuni yoyote na sio mzawa wa Kenya uone, unarubuniwa na maneno ya Uhuru kwenye kuapishwa?,yule tapeli wa kimataifa Lowasa anasubiri, Kama unashawishika kirahisi hivi nahisi ni mmojawapo wa waliodeki barabara, hivi unaijua Kenya vizuri?,umewahi kufika?
Hawajui wakenya huyo ni mtoto wa juzi tu. Wakenya sio wajamaa kama sisi. Wenyewe kwa wenyewe tu wana dindiana sembuse sisi?
 
Back
Top Bottom