Recent content by Ytoday

  1. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Sawa vitabu vinaweza vikawa ni vya kutungwa lakini , haiondoi uwepo wa Mungu
  2. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Mapungufu yapi hayo ambayo wewe unayaona na uwezo wake wote upi huo ambao unauona ??? Umeshawahi kuona uwezo wote wa Mungu,?
  3. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Nmejibu hivyo Kwa sababu nmeelewa mantiki yako, kwamba unaona kama vile Mungu kuna mahala amefeli, Sasa na Mimi ndio nmekujibu kua hata kama unaona Kuna sehem labda imelegalega je huoni tu kwamba bado amefanya Kazi kubwa ku create ulimwengu
  4. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Mungu ameumba binadam mwenye uwezo wa kum judge , ndio uone ni jinsi Gani yeye alivyo mwamba
  5. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,
  6. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Only created things has a creator
  7. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    Mungu aliumba ulimwengu mzuri tu ila walimwengu ndio wanauharibu
  8. Ytoday

    Mbona hizi dini zinachanganya?

    ukifa hurudi tena ko mtu anataka ainjoy vya mwisho mwisho
  9. Ytoday

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Akanji ,gvadiol ,dias and stones to start
  10. Ytoday

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Ukocha mgum sana
  11. Ytoday

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizi odds za Liverpool 1.55 muindi ana maana Gani 😂
  12. Ytoday

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Kuna circumstance za maisha zinaweza kutokea ukiwa above 60 utamuhitaji sana huyo mke, hapo watoto wote na wao wanahangaika na maisha yao, ndipo utakapouona umuhimu wa ndoa
  13. Ytoday

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tutegemee PDF na Leo jumapili?? Au Leo bila bila ??
Back
Top Bottom