Nmejibu hivyo Kwa sababu nmeelewa mantiki yako, kwamba unaona kama vile Mungu kuna mahala amefeli, Sasa na Mimi ndio nmekujibu kua hata kama unaona Kuna sehem labda imelegalega je huoni tu kwamba bado amefanya Kazi kubwa ku create ulimwengu
Asilimia chache sana ameacha katika kufanya ulimwengu uwe perfect , nazani tumsifie Kwa kile kidogo alichofanya , Mungu fundi sana , tuna enjoy Kwa kidogo icho icho alichotuumbia ,
Kuna circumstance za maisha zinaweza kutokea ukiwa above 60 utamuhitaji sana huyo mke, hapo watoto wote na wao wanahangaika na maisha yao, ndipo utakapouona umuhimu wa ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.