Recent content by YoungPastor

  1. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Kama hakuna katika mafundisho haya yanatokana na Torati au Manabii, yametoka wapi?

    Maswali mepesi sana ila magumu kwako usiyeamini, YESU NI BWANA.
  2. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

    Ukikuwa utaacha
  3. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe, Chadema imeshindwa kuwalipa mawakili ndio maana Lissu ameamua kujitetea mwenyewe

    Alokutuma mwambie tushaelimika long time ago, kama haelewi mwambieeee; Bila chadema upinzani upo deep inside. Hatuwezi kudangika miaka hii. Tunaelewa kizuri na kibaya.
  4. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Ungetuma kadhaa nipate idea. au kama Kuna uloipost nielekeze page no.
  5. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Ni jambo jema Tundu Lissu kujitetea Mwenyewe. Huwezi jua pengine kati ya Mawakili wake kuna akina Yuda Eskarioti

    Hao ni wa Kusoma Kupata cheti, kuelimika( renew of mind) sidhani.
  6. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi

    Kwani hawajui tv nowdays tunabeba kwa mfuko, au wanadhani tupo enzi za "NIMEOTA"
  7. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Ni jambo jema Tundu Lissu kujitetea Mwenyewe. Huwezi jua pengine kati ya Mawakili wake kuna akina Yuda Eskarioti

    Ukikuta mtu aloelimika yupo CCM, labda kaombwa kwa malipo/kazi maalum.
  8. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Leta freezers mkuu, bei ya store uchumi wa kati?
  9. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa walililofanya CHADEMA kwenye kesi ya Lissu

    Time Will tell
  10. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mahakama yakubali ombi la Tundu Lissu kujitetea mwenyewe

    Time Will tell
  11. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli alikuja kutufia dhabi zetu kwanini hakujisalimisha mwenyewe mpaka kumlipa Yuda ili amtambulishe

    Shortly! Ilipaswa iwe hvyo na ishakuwa hivyo. Imani
  12. YoungPastor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni Ushauri, upendo wangu kwa mke wangu unashuka

    Fanya utafute mahali ukakae mbali na yeye kwa muda kidogo, ukirudi itakuwa umetokwa na ujinga.
  13. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uhasama wa kisiasa Milllard Ayo apoteza wafuasi laki tatu ndani ya masaa 12

    Wahhh😲 so kinaweza kuwa kigezo Cha kutofanyika kwa Uchaguzi?
  14. YoungPastor

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uhasama wa kisiasa Milllard Ayo apoteza wafuasi laki tatu ndani ya masaa 12

    Shida ipo, nawaza wale wa no reform wagome kupiga kura alafu, wale wa no needs of reform wakapige kura wote. Itakuwajee🙄 Labda iwe no election🥺
Back
Top Bottom