HP VICTUS RTX 3050ti [emoji2768]
BEI 2,200,000[emoji2768]
GAME ZOTE KAZI YOYOTE YA GRAPHICS HUMU UNATELEZA TU MASHINE YA KAZI BEI OFFER HIYO
Product name
Victus by HP Laptop 16-d0127TX
Microprocessor
Intel[emoji2400] Core[emoji769] i5-11400H (up to 4.5 GHz with Intel[emoji2400] Turbo Boost...
Ambacho hamkijii ni kitu kimoja hiyo infinix anayotaja hapo bei yake ni kubwa kuliko hiyo xiaomi anayosema
Jamaa
Sasa sijui bei kubwa au jamaa hafatili simu??
Mbona bongo ipo hiyo huduma mfano mdogo hata mm nafanya hiyo kulipia kidogo kidogo ila sema kumuachia mtu aende na mali hapo ni utata kwa maana wezetu wanasystem nzuri ya kufatilia watu mfano mtu akienda labla na passport yake akachukua bidhaa kwako kitendo cha mshahara wake kutoka tu ww unapewa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utaibiwa kaka ww kama unataka simu nzuri na ni bora ww nicheck tu nitakuuzia kwa bei simple kidogo ila
Siyo kwa s10 plus kwa 400K u ataka ulie??
Habari za muda huu naimani ni mzima wa afya ngoja kwanza twende mdogo mdogo kununua simu fake siyo kwamba kila mtu anapa ga hata wazazi wetu huwa wanatuletea simu fake bila wao kujua maana simu zinaitaji elimu sana. Ok pengine labla mambo yamebadilika ila kwamimi hapa navyojua iphone hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.