iphone 18 promax
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,918
- 2,151
- Thread starter
- #21
HahahhahahahTop up wameanza kuitoa kwa simu za tecno na infinix kkoo
HahahhahahahTop up wameanza kuitoa kwa simu za tecno na infinix kkoo
Mimi nilikuwa nikisikia tumeingia uchumi wa kati nilikuwa nabaki tu hiiiiii 😃😂😂
Middle class kwa US na ulaya ni mtu anayepata kwa mwaka $100,000-$300,000.
Yaani kiufupi ni mtu ambaye kipato chake cha mwaka mzima ni kuanzia 230,000,000 hadi 690,000,000
Bongo tayari wanafanya muda tu ( nadhani hakufuatilia au hauna taarifa ) hasa kwenye simuUlaya ununuzi wa vitu kuanzia simu ,magari wananunua kwa kulipia kidogo kidogo mpaka MTU wnamaliza na incase likatoka Toleo mfano jipya unafanya top-up je kwa nini kampuni za simu huku bongo haziwezi kufanya mpango huu na wakapata Faida kubwa Tu tatizo ni nini?
🤣Top up wameanza kuitoa kwa simu za tecno na infinix kkoo