una duka kariakoo?? una biashara yyte kariakoo?? umepanga hata baraza kariakoo?? una mtaji wa milion 55?? unawafahamu wachina kwa undani gani au unawaona tu wanaingia na kutoka kariakoo??
buda cr7 atabaki kuwa kama alivyo maana kwa uwezo wake amefanya dunia imuongelee kama vile ww ulivyomtaja kwenye uzi wako.. siku zote kuna the best na mtu ambaye yupo close to the best ndomana midahalo haiishi kulinganisha wachezaji hao..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.