Inauma inasikitisha maovu yanazid ulimwenguni wao hawazuii Bali wanazid kuchochea vita but ndokilichoandikwa kwenye ufunuo wa yohana nikazi yashetani kuteka watu ufahamu
Duh nazani itakuwa ndo chanzo cha vita ya tatu mana mataifa makubwa yanajihami sana na ndo kilichotabiriwa bible tuombeni ndugu dunia tutaiacha[emoji22] [emoji22] [emoji27] [emoji26] [emoji25]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.