Recent content by young j

  1. Y

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Baba kanituma wachangamke sasa mana bila mbanga kuingia pale ni shida
  2. Y

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Connection ya kupata vyuo inakuwaje? Na ni nchi gan ambayo ni affordable na inayotoa elimu yenye ubora?
  3. Y

    Generator gani ni nzuri?

    Habari ndugu Nilikuwa naomba ushauri wa kitaalam ni generator ya uwezo upi itafaa zaidi kwa matumizi ya nyumba yenye fan(panga boy 4), fridge 2, TV 1, taa za 30w ziko 7, na inverter AC moja yenye 9000BTU hii sio lazima iwashwe. Karibun ndugu kwa ushauri
  4. Y

    Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa milioni tano (5)

    Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana nimefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo. Karibuni ndugu.
  5. Y

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Naskia kuna wengine wameenda TMA
  6. Y

    Ni lini nafasi za kujiunga JWTZ zinaweza kutolewa?

    Habari wanajamii forums. Nauliza ni lini nafasi za kujiunga na jwtz zinaweza kutolewa? Natanguliza shukran zangu
  7. Y

    Tumieni VPN kama internet iko slow sana

    Na kwa watumiaji wa IOS tunafanyaje?
  8. Y

    Tulioitwa usaili wa OSHA tukutane hapa

    Occupational nursing
  9. Y

    Tulioitwa usaili wa OSHA tukutane hapa

    msaada kwenye hili wana jamvi
  10. Y

    Tulioitwa usaili wa OSHA tukutane hapa

    Aliyewahi kufanya usaili kwa hii taasisi “OSHA” naomba aweze kushare uzoefu wake..natanguliza shukran za dhati.
  11. Y

    Tulioitwa usaili wa OSHA tukutane hapa

    Hongera, interview lini?
Back
Top Bottom