Habari wana jamvi nipo natafuta kioo laptop ambayo ni hiyo niliyoitaja hapo juu.pia kiwe cha led na ni nchi 15.6 kama sijakosea.
Taja bei na namba ya simu tufanye biashara
Za saivi wana JF mimi leo mchana nilimtuma mdogo wangu akatoe hela bahati mbaya njiani alichukuliwa na wezi na kuachwa maeneo mbali na nyumbani. Hivyo basi nilikuwa nahitaji niipate simu yangu.
Hatua awali za polisi nimesha fanya.
habari wana JF,
Nikuwa nahitaji mnijuze namna ya kutengeneza mabango pamoja na maswala ya graphics design ni vitu gani niwenavyo na namna ya kuvitumia
ASANTE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani wana JF nilikiwa nahitaji kuzifahamu Shule za Sekondari ambazo zipo karibu na barabara ya Morogoro road (Ubungo - Mbezi Luis) angalau sita kwa ajili ya project maalum ya kielimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wana jamvi mimi naomba ushauri na msaada juu ya namna ya kupata kituo cha mtihani hapa Dar es Salaam na shule zipi zinazo toa huduma hii na gharama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.