msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 839
- 1,472
Punguza siasa kama ajira zingekuwa zakutoka leo dalili zingekuwa zimeshaonekanaAlafu usipochaguliwa unailaumu serikali .
Siku inamasaa mangapi?
Punguza siasa kama ajira zingekuwa zakutoka leo dalili zingekuwa zimeshaonekanaAlafu usipochaguliwa unailaumu serikali .
Siku inamasaa mangapi?
Duh pole sana kiongoz wanguHyo mbona wengi tumefanya hvo m niliacha kozi ya afya miaka minne nkasoma ualimu mitatu ila mara zote tatu naomba nakosa
Jamaa anajiamin kwel utazan ni mmoja katika panel ya shortlistingAlafu usipochaguliwa unailaumu serikali .
Siku inamasaa mangapi?
Hii sasa ndio siasa yaani unataka dalili au matokeo. Umeniudhi naumewacost na wenzako maana sitoi tena update.Punguza siasa kama ajira zingekuwa zakutoka leo dalili zingekuwa zimeshaonekana
Kama Mwalimu bado hujui tofauti ya utadhani na utazan na unategemea nikupe update hata uje PM sikwambii.Jamaa anajiamin kwel utazan ni mmoja katika panel ya shortlisting
Jamaangu una mikwara ya kizamani... Me nlijua hutoi tena ajira, kumbe hutoi update! Haina athari kwenye postHii sasa ndio siasa yaani unataka dalili au matokeo. Umeniudhi naumewacost na wenzako maana sitoi tena update.
Brother umezingua acha kuishi kwa imaginationHii sasa ndio siasa yaani unataka dalili au matokeo. Umeniudhi naumewacost na wenzako maana sitoi tena update.
Noted.Ajira 13000 walioapply 120000 ,unadhani serikali ni wajinga, watoe majina kabla hamjapiga kura,
Hivi unadhan hao laki moja watakao kosa watakuwa na moyo wa kumchagua jiwe,...tafakari
Hii idadi mkulamba umebuni au n record halisi?????Ajira 13000 walioapply 120000 ,unadhani serikali ni wajinga, watoe majina kabla hamjapiga kura,
Hivi unadhan hao laki moja watakao kosa watakuwa na moyo wa kumchagua jiwe,...tafakari
Unafikiri hata hizo ajira zisingetangazwa wasingepita kwa mawazo yako finyu ?Ajira 13000 walioapply 120000 ,unadhani serikali ni wajinga, watoe majina kabla hamjapiga kura,
Hivi unadhan hao laki moja watakao kosa watakuwa na moyo wa kumchagua jiwe,...tafakari
Endelea tu kusubiri, kikubwa 0ctober 28 usifanye kosa.Unafikiri hata hizo ajira zisingetangazwa wasingepita kwa mawazo yako finyu ?
Huna ujualo wewe kojoa ulalaleHii sasa ndio siasa yaani unataka dalili au matokeo. Umeniudhi naumewacost na wenzako maana sitoi tena update.
Nakupenda cuteloveMmeliwa
Umeona wapi kuna ubizeNaona tangu Jana kuna ubize flani hivi hatari, nahisi mzigo soon utatema.
Nafikir 716,000/= basic salaryHivi mshahara wa mwalimu aliesoma degree ni shilingi ngapi
Baada ya Utopolo kufanyika anabaki na mia 4Nafikir 716,000/= basic salary
Duh!! Kuna haja ya reasoning skills iwe somo la lazima hukoo shule ya msingi.Ajira zinatolewa kila mwezi ?