Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Ajira 13000 walioapply 120000 ,unadhani serikali ni wajinga, watoe majina kabla hamjapiga kura,
Hivi unadhan hao laki moja watakao kosa watakuwa na moyo wa kumchagua jiwe,...tafakari
Noted.
 
Ajira 13000 walioapply 120000 ,unadhani serikali ni wajinga, watoe majina kabla hamjapiga kura,
Hivi unadhan hao laki moja watakao kosa watakuwa na moyo wa kumchagua jiwe,...tafakari
Hii idadi mkulamba umebuni au n record halisi?????
Maana kubuni buni vitu utakuja kupewa kes za uchochez za kujitakia
 
Back
Top Bottom