Recent content by young baba tz

  1. young baba tz

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Nadhan mungu atawacha sabb hawajui ivyo basi watu weng hawataenda ppte
  2. young baba tz

    BAKWATA na uhalali wa kuongea kwa niaba ya uislamu

    Je kuna shia alishawqh kuchaguliwa nafasi yyte
  3. young baba tz

    Laana imenikumba, nimeshuhuudia wazazi wangu wakifanya tendo la ndoa

    Yan mm waga sikai home af ndo wa mwisho naendaga kusalimia nakaa hta week
  4. young baba tz

    Laana imenikumba, nimeshuhuudia wazazi wangu wakifanya tendo la ndoa

    Mkuu ni kwl sikudhan kuwa wanafanyga kwan ni wazee sana
  5. young baba tz

    Laana imenikumba, nimeshuhuudia wazazi wangu wakifanya tendo la ndoa

    Habari wana bodi, Yaani hapa nilipo sina raha nina wiki sasa toka niwashuhudie hili jambo, sina raha wazazi hatuangaliani usoni baada ya kuwafuma sebuleni wakifanya yao yani nimeumia sana. Nifanyaje nisahau wakuu?
  6. young baba tz

    Hongera sana Rais Magufuli na Serikali yako kwa kuona umuhimu wa kuwa karibu na Taifa la Israeli

    Nakuona mwizrael mweus utapendaje watu hawakupend ngozi nyeus bwana akil zetu ni za kuchambia tu na maji
Back
Top Bottom