Habari wana bodi,
Yaani hapa nilipo sina raha nina wiki sasa toka niwashuhudie hili jambo, sina raha wazazi hatuangaliani usoni baada ya kuwafuma sebuleni wakifanya yao yani nimeumia sana.
Nifanyaje nisahau wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.