<br />jeshi hilo hadi sasa hawajapata posho hizo na huwa wanalipwa kabla ya tarehe 15 kila mwezi na askari hao wametishwa kutolipwa kwa kuwa wanapeleka malalamiko kwa wanasiasa
<br
Tokea kupitishwa kwa bajeti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi na naibu waziri kuwadanganya wabunge kuwa polisi wanalipwa posho ya tsh 150000 habari za kuaminika kutoka ndani ya
Tafadhali Dr Slaa nakuomba uje jf utupe msimamo wa cdm kuhusu sakata la matatizo ya nishati ya mafuta,umeme na gas kwani mambo yamezidi mno na wananchi tumechoka saaaana,au mna makampuni ya mafuta?
kama ushahidi anao kwa nini asifikishwe mahakamani?na cag akamilishe uchunguzi haraka tumechoka na viongozi wabovu,kaza buti Fikikunjombe kwa manufaa ya wananchi wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.