Recent content by yotekheli

  1. yotekheli

    Nahitaji mercury nyekundu

    Anahamu ya kutapeliwa hela zake zinamuasha ngoja watu wazipigwe akalilie kwenye tundu la choo.
  2. yotekheli

    Printer inauzwa

    Wino wa hiyo printer bei gn?
  3. yotekheli

    Zuku Sattelite Dish For Sale

    TUMA NAMBA ZAKO BASI
  4. yotekheli

    Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

    Hii account ya CCCAM unalipia bei gani kwa muda huo wa miezi mitatu?
  5. yotekheli

    Mashine ya bisi inauzwa

    NAITAKA MIMI KULA 2300000/=
  6. yotekheli

    Yusuf Manji awasili Polisi kituo cha Kati kuitikia wito wa RC Makonda

    Kikowapi sasa mnaleta ushabiki wa yanga na simba kwenye madawa jamaa kapimwa vipimo vimeonyesha kubwe teja lililo kubuhu. Haya tafuteni paa kumweka.
  7. yotekheli

    Yusuf Manji awasili Polisi kituo cha Kati kuitikia wito wa RC Makonda

    Makonda kaanza na wengine watafuata,ulimsikia magu aliyosema hata mkewe naye atakamatwa toa ushirikiano tuu kukosa kuibiwa na mateja wa vizazi vyetu vya vijacho, wanaanza WAVUTAJI,WASAMBAZAJI,WATU WA KATI NA MAKOKODI utasikia WENGINE WAKUBWA TUU ZAIDI YA HAO WATAFUATA
  8. yotekheli

    Yusuf Manji awasili Polisi kituo cha Kati kuitikia wito wa RC Makonda

    Hii nchi tofauti sana manji AKIJITIA KUJUA sana,tunamwangushia zigo KUWA SIO RAIA wa tanzania. Natuache ujinga hili swala si la mchezo mchezo,tuache USHABIKI na SIASA hapo tutafanikiwa kulipunguza kwa kiasi kikubwa sana. Kama kweli ANATUMIA basi aeleze wapi ANAPOYANUNUA na kama ANAUZA aeleze...
  9. yotekheli

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Ukimuona mtu amesimama anatetea juu ya KUKAMATWA kwa hawa WATUMIAJI au WAUZAJI ujue huyo mtu ANAFAIDA NAYO au HASIRAHI nayo BINAFSI. Mkuu MAKONDA usiangalie sura wala jina wote kamata.
  10. yotekheli

    Dawa za Kulevya: Nape aasa "Tusiwahukumu watu kwa Tuhuma, kubomoa brand ya mtu/taasisi ni sekunde"

    Sasa watu wanaonekana kabisa kuwa wanatumia,unataka kuwatetea nn au ndio FUNIKA KOMBE WANAHARAMU APITE, Mie sijamuelewa kabisa maana huu mtandao mkubwa sana watu na mipango yao ASIYE KUWEMO KUMBE NAYE YUMO, Mwendo wa J mo KIMYA KIMYA. MAKONDA FANYA KAZI YAKO LIOITAKA KUIFANYA WANATUHABIA SANA...
  11. yotekheli

    Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    MIE TOKA JANA KILA NIKIJARIBU KUFUNGUA HAITAKI KUFUNGUKA SIJUI KWANINI
  12. yotekheli

    Msaada: Natafuta app ya kuzuia simu zote nazopigiwa na kusomeka niko busy muda wote

    Tafuta app inayoitwa easly block,hii unaweza uka wablock watu wote pia unaweza kuchagua mtu mmoja mmoja wewe unayetaka kumblock asikusumbue.hii APP ipo vizuri sana na ni rahis sana kutumia.
  13. yotekheli

    INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

    Dstv peke yake unauza bei gan?
Back
Top Bottom