Ila sio kwa mazingira ya Chanika kwa watu wanaofahamu aina ya miamba ya dhahabu pale Chanika hakuna miamba ama Gold Belt,kwa mkoa wa Pwani sawa hasa maeneo ya Msata,Kibindu, Bwawani, Mdaula kueleka Mbiki Reserve..
Hakuna pahala nimekutukana katika comment yangu...vilevile utambue wewe huna hatimiliki ya ufahamu kuliko wengine katika historia ya nchi hii..kwa wewe unayependa kuandika kile jambo kwa mrengo wa kidini unataka kutuaminisha hata yale maji ya dawa ya Mwanamizimu Kinjekile Ngwale yalikuwa na...
Khadija Mkomanile alisilimishwa dini na Mmatumbi Omar Kinjala aliyetumwa na Kinjekitile kuwaatarifu kuhusu dawa ya ajabu ambayo ingebadilisha risasi kuwa maji.. hakuwa na Uislamu wa kuzaliwa ..acha uongo wewe Mzee Mdini wa kutupwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.