Netanyau na mkewe wameuawa kwa kombora lililopiga kwenye bunker alimojificha usiku wa kuamkia leo majira ya saa7 kwa saa za Israel ..source Masjid Khomenei News... Wazayuni wanaendelea kupukutika..
Majaliwa alishangilia sio kwa uchama bali aliongoza awamu ya tano ambayo ilipendwa na wananchi kwa kuwajali kwa dhati, umeona miaka mitano ya kumbukizi ya kifo cha Magufuli livyoteka mitandao ? hii ina maana Magufuli alipendwa na watanzania siyo huyu Kahaba Chura anayetengenea machawa wa...
Hizi ni nyakati mbaya sana kwa Wairan na Waarabu weusi wa Mbagara, Kondoa na Tandahimba, futari ya Magimbi liyochanganywa na Mashelisheli na uji ulioungwa kwa maziwa ya ngamia vinawakwama kooni kwa kipigo wanachotembezewa wapendwa wao huko Iran..
Katika watu wapumbavu duniani wewe umo kwenye list tena ukawa namba moja, haya mahaba niuwe ya dini kashushie na futari ya magimbi na uji uliochanywa na maziwa ya ngamia yaliyoletwa kwa msaada toka kwa mabasha wenu huko Arabuni..
Mimi nahisi huu ushabiki wa mambo ya vita utakuja kukuua .. ina maana wewe Qumalamamaiako unaamini Netanyau amekufa pamoja na evidence nyingi kuonekana mpaka Al Jazira kuweka hotuba yake akitangaza kifo cha Ali Larijani ?
Mwanzilishi wa utekaji hapa nchini ni Kikwete ni ukweli usiosemwa Ulimboka alipotekwa na kung'olewa kucha na kutupwa Mabwepande ilikuwa utawala wa nani, Absalom Kibanda naye alitekwa utawala wa awamu ya ngapi ?
Kuna Mbwa humu wanajifanya hawajui nguvu ya Wanamtandao Magufuli hahusiki kabisa na tukio la kupigwa risasi Tundu Lisu kwa 100% tukio hilo lilifanywa na TISS waliokuwa watiifu na mamluki wa kundi la wanamtandao hata magenge ya kiitikadi kali kule Kibiti walikuwa huku kwa nguvu ya Wanampandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.