Recent content by Yoranda

  1. Yoranda

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NMB plz Mshahara mnatuwekea saa ngapi??
  2. Yoranda

    Tunaosubiri mshahara wa Januari tukutane hapa

    Bado hata sasa natoka kuangalia
  3. Yoranda

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nikitummia unit 20 kila mwez nitakuwa kundi la watumiaji wa tariff ipi
  4. Yoranda

    #COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Serikali isisitize kuvaa barakoa lkn zile za kushona kwa fundi pekee. Lkn pia utaratibu wa kunawa mokono ni ustaarabu wa kawaida haikupaswa kuudiscourage
  5. Yoranda

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Jamani natafuta thread pendwa iwapi
  6. Yoranda

    Dar es Salaam inapanuka sana. We fikiria mwenyewe jambo hili

    Niwashauri wataalam na viongoz waache kujenga daraja za juu, wapanue miji nchi.bado kubwa
  7. Yoranda

    Dar es Salaam inapanuka sana. We fikiria mwenyewe jambo hili

    Niwashauri wataalam na viongoz waache kujenga daraja za juu, wapanue miji nchi.bado kubwa Sana hii, wastage of resources
  8. Yoranda

    Ukijengea nyumba kwa hela ya kuhemea ni ujinga

    Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae? Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
  9. Yoranda

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Nataka kuiangalia mpira simba vs platenam kwenye simu msaada
  10. Yoranda

    Hebu nipeni maufundi namna ya kushughulika na mtu wa kuzira

    Huyo anapenda kudeka aidha mkaukie au mbembeleze lkn kwa kiwango Chako usijibidishe sana..ukiona hana shukran basi kaa kimya...lkn akikutafuta more nafasi kidogo
  11. Yoranda

    I have nowhere to report Uber theft, harassment, fake trip transport fees

    Hawa madereva wanakuonyesha screenshot, bei ya uongo. Nilimuomba nione bei na ramani ya safar akakataa na akaficha simu, bei aliyotaja Mara ta3 ya bei ninayolipa siku zote hata ikizidi au kupungua ni kias kidogo Sana. Cha kunishangaza nimetafuta Sana pa kusema hakuna. Uber drivers has...
Back
Top Bottom