Serikali isisitize kuvaa barakoa lkn zile za kushona kwa fundi pekee.
Lkn pia utaratibu wa kunawa mokono ni ustaarabu wa kawaida haikupaswa kuudiscourage
Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Huyo anapenda kudeka aidha mkaukie au mbembeleze lkn kwa kiwango Chako usijibidishe sana..ukiona hana shukran basi kaa kimya...lkn akikutafuta more nafasi kidogo
Hawa madereva wanakuonyesha screenshot, bei ya uongo.
Nilimuomba nione bei na ramani ya safar akakataa na akaficha simu, bei aliyotaja Mara ta3 ya bei ninayolipa siku zote hata ikizidi au kupungua ni kias kidogo Sana.
Cha kunishangaza nimetafuta Sana pa kusema hakuna.
Uber drivers has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.