Mkuu mbona ni ize tu mt mpk akaja kutaka ushauri huyo bado anapenda hivyo anatafuta kuungwa mkono tu polisi wanapokea kesi nyingi tu nawengine huwa wamepasuana kbs lkn kubwa kwa wenye busara pamoja na kupasuliwa je bado unampenda mkeo au mme akijibu ndio kesi imeisha
Mkuu endelea nae huku ukimkwepa taratibu mfano km ulifanya nae jana leo na kesho tafuta sababu za kumkwepa.huku unatumia muda mwingi kuongea nae muda mwingine singizia hata marathi.kisha kaa nae uongee nae atakuelewa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.