hivi unaanza vipi hata kumpa nafasi ya kufikiria tu kwamba nimuoe na mwanamke mwenye tabia za ulevi,kiupande wangu hata mchumba mlevi tu simuhitaji naanza vipi hata kumkiss tu na miharufu ya pombe kwenye domo lake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.