Recent content by YONA PASCAL

  1. YONA PASCAL

    Msaada: Jinsi ya kupata namba ya NIDA

    kama hukupigwa picha bado hujakamilisha vigezo vya kupata namba ya utambulisho wa iraia
  2. YONA PASCAL

    Msaada: Jinsi ya kupata namba ya NIDA

    kwa anaetafuta bila kupata namba ya nida nitext kwa namba hii whatssap au nipigie simu au message nikupe namba yako ya nida 0717971798
  3. YONA PASCAL

    Anatafutwa msimamizi wa shamba

    mimi nahitaji nipigie kwa simu namba 0759561054
  4. YONA PASCAL

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    Uko bank gani na je ulishajaza form ya account kuwezeshwa kupurchase online kama ulishajaza form na ukatumiwa secure code na ukaiverify card basi ikikataa tatizo account yako haina akiba ya kutosha.
  5. YONA PASCAL

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    na ukitazama hii link inaonyesha unaweza kutuma na kupokea isipokuwa sijacofarm Send and Receive International Payments - PayPal Worldwide
  6. YONA PASCAL

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    Kwa nini mkuu ikiwa unaweza kununua vitu online kwa paypal
  7. YONA PASCAL

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    Ok lakini je pamoja na makato yao hao paypal kuna uwezekano wa kupokea hela kwa paypal hapa nchini kwetu
  8. YONA PASCAL

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    Techintz, Mkuu naweza kupokea malipo kutoka nchi za Ulaya na Marekani kwa njia ya Paypal
  9. YONA PASCAL

    Nifanye nini ili 'dushelele' yangu iwe kubwa?

    pole sana ila kikubwa ambacho nakusifu umekuwa muwazi na dawa ipo ambayo itakuwa ufumbuzi wa tatizo lako nitumie namba yako ya cm kwenye imel hii ypspyz@gmail.com na siyo wewe tu kwa wote wenye tatizo kama lako karibuni sana
  10. YONA PASCAL

    Ugonjwa wa Typhoid unanitesa, nahitaji dawa ya asili

    kwa anayeumwa ugonjwa wowote sugu na si typhoid tu ugonjwa wowote sugu tuma Maelezo yako kwenye imel hi I ypspyz@gmail.com
  11. YONA PASCAL

    Lowasa adhalilishwa

    dira ya ccm si kuwanyonya wananchi na kusababisha maisha mabovu pia kazi ya ccm ni kutengeneza mafisadi bora ukawa ccm hamna sera ni watu wa kuigaiga vitu kutoka ukawa sasa ngoja mshtakiwe kwa kuchakachua neno m4c hamna jipya ninyi tena kama mnaakili msingem uita lowasa fisadi wakati ccm...
  12. YONA PASCAL

    CCM haiwezi kusimama mbele ya UKAWA!! People's..

    mtanzania mwenye imani na ccm huyo hana akili kabisa na ana njaaa wengi wanaoshabikia ccm wanasumbuliwa na njaa kwa taarifa yenu ccm miguu chaliiii watanzania wanataka kukombolewa kupitia ukawa na kitakachowachinja zaidi ccm ni huo mfumo wa kubandika na kutangaza rais aliyeshinda kwa kila kituo...
  13. YONA PASCAL

    Wanachama zaidi ya 600 na viongozi wa CHADEMA Vunjo wahamia CCM

    uongo mtupu ccm mwaka huu mtaitambua nguvu ya umma tumechoka kutawaliwa kibabe ni mwendo wa m4c peopleeeeeeeez
  14. YONA PASCAL

    Wanachama zaidi ya 600 na viongozi wa CHADEMA Vunjo wahamia CCM

    uongo mtupu ccm mwaka huu mtaitambua nguvu ya umma tumechoka kutawaliwa kibabe ni mwendo wa m4c peopleeeeeeeez
  15. YONA PASCAL

    Fundi wa simu

    Screen iliyocrack haiwezi kurekebishwa bali inahitaji kubadilishwa
Back
Top Bottom