Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

Nizuri kufanya manunuzi online lakini mabenki yetu kwa sasa yamekuwa ya kubabaisha sana mfano unapofanya manunuzi kama yule anaetakiwa kukutumia mzigo haujafika kwa wakati na ukaclaim kwa maana ya kurudishiwa pesa hapo ndio utaona chamoto sijui tuma hiki unatuma subiri nyingi mpaka unakata tamaa inachukua mawiki kibao.
 
Techintz,

Biashara nyingi mtandaoni siku hizi wanakubali malipo ya crypo-currency kwa mfano Bitcoin, Ethereum na Altocoin. Na upofanya malipo kutoka wallet moja kwenda nyingine hukatwi. PayPal unakatwa % kufuatana na kiasi cha fedha katika muamala. Go for Crypto-currency!
 
Ok lakini je pamoja na makato yao hao paypal kuna uwezekano wa kupokea hela kwa paypal hapa nchini kwetu
 
YONA PASCAL,
Unaweza kupokea lakini huwezi kukwepa makato mimi naweza sema ni commission ambayo PayPal wanapata kuwezesha hiyo transaction. Lakini kwanini ukatwe fedha uliyoitolea jasho kirahisi hivyo wakati kuna huduma au jia ambazo hukatwi hata senti? kwamfano Kupokea malipo kutumia Bitcoin, ethereum au altocoin. Hukatwi, hakuna kodi wala commission yeyote. Amka!
 
unaweza kupokea lakini huwezi kukwepa makato mimi naweza sema ni commission ambayo PayPal wanapata kuwezesha hiyo transaction. Lakini kwanini ukatwe fedha uliyoitolea jasho kirahisi hivyo wakati kuna huduma au jia ambazo hukatwi hata senti? kwamfano Kupokea malipo kutumia Bitcoin, ethereum au altocoin. Hukatwi, hakuna kodi wala commission yeyote. Amka!

Ni 'kukosa maarifa' kufananisha PayPal na Bitcoin na ni 'kukosa maarifa' zaidi kuendelea kusema biashara nyingi zinakubali BitCoin bila kutaja mifano!

Wana JF wengi hapa wananunua bidhaa i.e Physical Goods kama kuanzia Electronic device mpaka hata health fitness goods kutoka nchi za Ugaibuni.

Emu tutajie sites tatu kutoka USA na China(Nimetaja hizi tu sababu imports nyingi zinatoka huko kuja kwetu hapa) ambazo tutaweza nunua bidhaa kuja TZ kwa kutumia Bitcoin.

Na utwambie Gurantee ya mtu kupata Refund iwapo mzigo hautofika kwake maana PayPal mzigo usipofika una uhakika 100% kurudishiwa hela yako au hata ukitapeliwa PayPal unarudishiwa hela yako kitu ambacho najua ni vigumu sana sababu hamna mtu anae control hiyo currency labda website inayotumia Bitcoin iwe na ESCROW ndani yake.

Bitcoin hapa kwetu itaendelea kuzubaa labda tu wajitokeze watu ku offer services mitandaoni na waruhusu BitCoin na hapo watu watakua na mwitikio mzuri wa hii currency.
 
Naombeni mnisaidie nina NGO yangu nataka kupokea donation na walipe kwa paypal ..je ninawezaje kusajili ili niwe na paypal kwa NGO yangu ili niweze kupokea donation kwa wahisani mbali.mbali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawakumbusha wakat mnajisajili kwa Paypal msipitie opera mini itakuzingua pitia walau Chrome
 
Jamani mimi nimejaribu kusajili account kwenye Paypal imekataa nimetumia Visa Card nikiingiza Visa Account namba inasema haikubaliki naombeni mwongozo wapendwa nifanyeje?
 
Uko bank gani na je ulishajaza form ya account kuwezeshwa kupurchase online kama ulishajaza form na ukatumiwa secure code na ukaiverify card basi ikikataa tatizo account yako haina akiba ya kutosha.
 
Mambo vipi wakuu. Hivi nikiwa na account ya Equity Bank Tanzania? Je naweza tu kufanya hizi online payments bila kufanya activation yoyote au ruhusa yoyote kutoka bank?
 
Mambo vipi wakuu. Hivi nikiwa na account ya Equity Bank Tanzania? Je naweza tu kufanya hizi online payments bila kufanya activation yoyote au ruhusa yoyote kutoka bank?
Unafanya tu bila ya kufanya chochote
 
Great useful just what I was gonna look for Am get on board on this one and enjoy transactions world wide
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom