Recent content by Yolaki

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli kutembelea Arusha kwa njia ya barabara akitokea Dodoma

    Kama yeye anakagua barabara na waziri wa ujenzi afanye nini?
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni anachochea chuki baina ya Tanzania na Kenya

    We are going to see how strong the coalition of the willing is.
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Kinachomsumbua Rais Mh. John Pombe Magufuli ni mikataba mibovu iliyoikuta!

    Yeye alikuwa mbunge na waziri kwa muda mrefu. Wakati uchafu wa aina hiyo ukijadiliwa bungeni yeye alikuwa ni mmoja wa waliokuwa wakipitisha uchafu kwa Kura zao. Anapaswa kula matapishi yake mwenyewe na kama watanzania tunafikiri haiwezekani mtu kula matapishi yake basi tutajutia uamuzi wetu wa...
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Je, ni nani aliwasilisha pingamizi la Mahakama kwenye Uchaguzi wa Meya?

    JPM anaweza kujitoa kama alivyofanya kuhusu suala la Zanzibar. Kama kweli serikali inatumbua majipu mbona imenyamaza katika hili? Viongozi wetu waache unafiki na wawatendee haki wananchi wa Dar. Mbona Nairobi governor ni wa upinzani na mambo yanaenda vizuri?
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Mapato ya Bandari kushuka, wengi sasa kupitia Mombasa

    Nchi za Rwanda, Kenya, na Uganda lazima kuipongeza serikali ya magufuli kwani vita walioanzisha dhidi ya serikali ya Tanzania wanaelekea kushinda. Lengo la hizi nchi tatu ni kuimarisha bandari ya mombasa na hivyo kuikandamiza Tanzania kiuchumi. Kwa kutangazwa wazi kwamba bandari ya Dar ina uozo...
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

    Hayo ni majipu kwelikweli lakini Katiba.....
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Dr. Mahiga ni moja ya chaguo bora Magufuli alifanya

    Ni kweli mahiga ni kiongozi mzuri lakini kazi ni nyingi sana kwake. Hiyo wizara ni kubwa mno.
  8. Y

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao

    Waswahili husema mwanzo mgumu lakini jpm ni kama anaona kutumbua majipu ni jambo rahisi. Mimi nina mashaka makubwa
  9. Y

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao

    Mawazo yako mjukuu hayafai kabisa kwenye jamii ya sasa. Mtaka maendeleo wa aina yeyote hawezi kuchekelea upinzani unapokosa nguvu katika nchi yoyote. Mpinzani ni yule anayekuonyesha ni wapi unakosea. Kwa sasa upinzani umenyamaza kwa kuwa mambo sio mabaya sana. Tuombe upinzani uongezeke nguvu ili...
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga akosoa agizo la Rais Magufuli

    Huyo meneja msaidizi namsifu kwa ujasiri wake. Huyo si mtu wa kujipendekeza anasimamia ukweli. Huyo hata kufukuzwa lazima serikali ifikirie mara mbilimbili. Tunahitaji viongozi jasiri si wakujipendekeza na kutojiamini katika fani zao. Hongera mkuu.
Back
Top Bottom